Hivi Mwanasheria Msomi Mabere Nyaucho Marando yuko wapi?

Hivi Mwanasheria Msomi Mabere Nyaucho Marando yuko wapi?

Habari za mchana huu wadau, napenda kujua mwanasheria huyu na mwanasiasa mkongwe Mabere Marando je kashaachana na siasa? bado yuko Chadema? nilipata sikia alipata matatizo ya kiafya au ndio KITENGO kilinyong'onyesha.Mwenye data zake kwa sasa atiririke.

Nawasilisha
 
Wiki mbili zilizopita alionekana kigoma manyovu kwenye shamba lake la ndizi pia ameamua kuwa mtoa ushauri kwa vijana wa kipande hicho

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Two weeks back nilijiuliza sana swali la aina hii then three days back nikakufikiria nikajisemea utakua umejichimbia ukisoma vitabu kadhaa huku ukiendelea na mishe nyingine
 
Huyu jamaa aliwahi kuwa kada mtiifu sana wa CHADEMA, na kipindi kile cha M4C kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 aliwika kwelikweli. Nini kilichomsibu huyu mwanasheria wetu msomi ??
wanadai yeye na marehemu Horace Kolimba walikuwa panya wa ikulu Tiss toka enzi za mwalimu. Walikuwa masharp shooter wa hatarii walikuwa wanaweza kukushoot kwa nyuma huku wanakimbia na wasikose target.

Mzee moja wa kitengo nilishawahi kumsikia akisimulia
 
wanadai yeye na marehemu Horace Kolimba walikuwa panya wa ikulu Tiss toka enzi za mwalimu. Walikuwa masharp shooter wa hatarii walikuwa wanaweza kukushoot kwa nyuma huku wanakimbia na wasikose target.

Mzee moja wa kitengo nilishawahi kumsikia akisimulia
Wakina tamimu,Maganga (wahaini), wanawajua vzr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanadai yeye na marehemu Horace Kolimba walikuwa panya wa ikulu Tiss toka enzi za mwalimu. Walikuwa masharp shooter wa hatarii walikuwa wanaweza kukushoot kwa nyuma huku wanakimbia na wasikose target.

Mzee moja wa kitengo nilishawahi kumsikia akisimulia
Na Masiligi pia.
 
Eugene Maganga na Mohammed Tamimu wote wameshatangulia mbele ya haki. Sio rahisi kuwauliza kuhusu Mabere Marando.
Zecharia Hans Pop wa Simba anaweza kuwa shuhuda maana alishiriki, wapo kadhaa walio hai akiwemo Captain Badru Kajaja, Captain Vitalis Mapunda, Captain Rodrick Roshan Robert, ingawa huyu wakati furani afya yake ililegalega.
Pia kuna Captain Mbogoro. Kati yao kuna walio hai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom