Sumti
JF-Expert Member
- Jan 30, 2016
- 2,342
- 2,196
Pole yakehe is serous sick..
Yupo nyumbani kwake Kondo bahari beach.Sina taarifa za huyu Kamanda? Updates pls?
Afya yake ni mgogoro ndo mana haonekaniSina taarifa za huyu Kamanda? Updates pls?
Pia kazeeka sana ni mzee umri umeenda kiasiAlipigwa na Stroke moja kali sana, Saivi yupo na afya sumbufu.
Mara ya mwisho namuona ilikua kivule ktk Kanisa la wrmhe is serous sick..
Hivi ile ni stroke eeh ,huyu mwamba picha ya mwisho namuona ilikua 2015 uchaguzi ,yuko NEC na EL wa CDM wakichukua fomuAlipigwa na Stroke moja kali sana, Saivi yupo na afya sumbufu.
afadhali ungeandika Kiswahili kulik kuinajisi lugha ya bibihe is serous sick..
Nimrod mkono?Yupo nyumbani kwake Kondo bahari beach.
Juzi alikuwepo kwenye mkutano mkuu wa Chadema!