Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 4,046
- 3,049
Tembo 2015 alichemka mwenyewe, sembuse fisi mla mifupa ndo atafurukuta 2020?
Sawa nenda na huyo mende akakulambe mdomo uckuawww!#twendeNaMembe
😂😂😂Sawa nenda na huyo mende akakulambe mdomo ucku
Twende na Nd. Bernard Kamilius Membe...utamjua tu ....au muulize Nd. Katibu BashiruMembe ndio Nani..maana nasikia membe membe
Umesahau ile ya buguruni, bondeni kabla ya tangi bovu na ya pale ruvu darajani.Tazara (DSM), Manzese (DSM), Mabatini (MZA), Kirumba (MZA). Ya magari moja za waenda kwa miguu tatu.
Musiba si anataka kumtoa Polepole kwenye Uenezi...twende naye ktk hiyo nafasi maana Polepole kapwaya...Duuu yaan ww ,,,musiba tena yule hat karbu tawala hafai..
Kaka zile sio fly over. Pale tazara kuna daraja la juu kubwa na mengine madaraja madogo.Tazara (DSM), Manzese (DSM), Mabatini (MZA), Kirumba (MZA). Ya magari moja za waenda kwa miguu tatu.
Yaani anajali sana , ndege, madaraja na barabara kupita, wananchi wake kama kuwaongezea mishahara watumishi wa umma na wafanyakazi wengine ?Magufuli ni rais anejali vitu na sio watu namchukia kiukweli
Zero brain, hivyo vidaraja vya juu ndio flyovers??Tazara (DSM), Manzese (DSM), Mabatini (MZA), Kirumba (MZA). Ya magari moja za waenda kwa miguu tatu.
Mkuu hii kitu haihitaji akili nyingi kuiona huyu jamaa hajali kabisa hali ya maisha ya watu kabisa yaanYaani anajali sana , ndege, madaraja na barabara kupita, wananchi wake kama kuwaongezea mishahara watumishi wa umma na wafanyakazi wengine ?
Yaani wewe mtu wewe hii akili umeitoa wapi ?
Tafuta maana ya flyover ujielimishe kwanza kabla ya kutoka povu na kuonesha upumbavu wako wewe zero brain. Unataka kupinga kila kitu bila kuwa na facts. Nyie ndio wasomi feki mliojaa Tanzania.Zero brain, hivyo vidaraja vya juu ndio flyovers??
Kimsingi flyover au crossover ni daraja linalowezesha traffic ya njia moja kupita juu ya njia nyingine. Ila ukiongelea interchange au spagheti junction ni kitu kingine na hatujajenga hapa Tanzania. Kama sikosei Ubungo panajengwa interchange kwa sasa.Kaka zile sio fly over. Pale tazara kuna daraja la juu kubwa na mengine madaraja madogo.
Haya madaraja madogo unaweza kuita zebra.