Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Mie nahisi mnamtumia Membe kumtumia ujumbe Magufuli alegeze kamba na si kweli mmemchoka Magufuli,,,,mna love hate relationship na Magufuli...lol mnamkubali na ma flyover yake ndio maana wengi wenu mnafeel guilty kutamka waziwazi ‘kazi na bata’ ,,,,having said all this,,,i think Membe ndie Rais ajae,Ameanza kusikika kabla Magufuli hajatoka akiendelea kwa speed hii Magufuli 2020 atabaki kuwa Rais wa term moja!this is good timing for you Membe una muda wa kujijenga,,,go!go!
2020twende na Membe,,,hehe
2020twende na Membe,,,hehe