Hivi mnajua depression ya kuachwa?

Hivi mnajua depression ya kuachwa?

anajua nampenda nailahumu siku ya kwanza kumuona unajua huwezi amini nilimpenda akiwa bado darasa la pili mim niko la 7 hadi leo ni muda mrefu i still loving her
Are you sure kabisa!? Na je mliwahibkuwa kwenye mahusiano rasmi. Au ni kipindi bado mko wadogo?
 
tuliigia kwenye mahusiano one week kipindi amekua akawa mdada akaacha shule akaenda kufanya kaz mm nami nikaenda shule nikaludi ameshapata mchumba age 17
Kuna kitu nataka kuongea na ww private kuna issue utakuwa unaipitia inaitwa limerence kama hautojali.
 
Mkuu mbona unakuwa defensive mapema hivi😂 kama hauja pitia na hujakubali kuingia kwenye maumivu lazima ulipie tu kwa namna fulani.. Hasa kwa watu wengine. Unakuwa non receptive of love.
Kuumia ni kuchagua mkuu, unaumia kwasababu matarajio yako hayajafikiwa, hayajafikiwa kwasababu ulikua na matarajio makubwa ila mwenza kakuangusha.
 
Kuumia ni kuchagua mkuu, unaumia kwasababu matarajio yako hayajafikiwa, hayajafikiwa kwasababu ulikua na matarajio makubwa ila mwenza kakuangusha.
Ndio, but anapaswa kujua kuwa it's not the mind that aches it's the body and soul. Ila wengi humezea maumivu then wanaenda kuwa toxic na kulipizia kwa watu wengine ambao wako so innocent
 
Ndio, but anapaswa kujua kuwa it's not the mind that aches it's the body and soul. Ila wengi humezea maumivu then wanaenda kuwa toxic na kulipizia kwa watu wengine ambao wako so innocent
Dunia iko hivyo mkuu, umepewa utashi utumie, ukishindwa basi utatumiwa.
 
🎵🎵 kuachwa kuachwa, kuachwa ni shuhuri pevu, wew unakonda yeye ananenepa kwa mawazo oooh kwa mawazo🎵🎵💃
 
🎵🎵 kuachwa kuachwa, kuachwa ni shuhuri pevu, wew unakonda yeye ananenepa kwa mawazo oooh kwa mawazo🎵🎵💃
Tukiwa makinda tulikuwa tuna enjoy nyimbo sasa tunaelewa lyrics zake. Nyimbo inakuwa zaidi ya kiburudisho bali combo cha kuleta maana ya vitu tupitiavyo maishani
 
Back
Top Bottom