Kuna tetesi zimeenea hapa Arusha kuwa yule anayeitwa kama 'tajiri mzalendo' ni mmoja wa wafanyabiashara na matajiri wanaomfadhili ndugu Lowassa.
Mengi kumfadhili Lowassa sio kosa bali ni vizuri ikawa wazi kama anavyotanabaisha mgombea ndugu Lowassa kwamba 'simama uhesabiwe'
Kwa mwenye kufahamu vizuri uswahiba huu wa watu hawa atajuze ili tuondokane na tetesi.
Pasco njoo huku!
Mengi anabeba tabia zote za watu wa kaskazini, awa watu wa huko lao moja wanajificha kwenye kivuli cha kukomboa watanzania. Safari hii wanataka kutega kote kote so mengi anajua upande wa ukawa hakuna kikwazo ngoma ipo ccm ndio maana anatoa support asimame fisadi lowassa.
Awa watu wa huko wanajifanya smart sana na wamejaliwa kipaji cha kushika watu maskio. Wenye akili kama mzee mchonga walifanikiwa kuwadhibiti.
Bila shaka ufahamu wako umetawaliwa na UKABILA tuu na si vinginevyo...pole sana ndugu hii nchi haikufai,ushauri wangu nenda kaungane na ndugu zako Burundi
Mengi anabeba tabia zote za watu wa kaskazini, awa watu wa huko lao moja wanajificha kwenye kivuli cha kukomboa watanzania. Safari hii wanataka kutega kote kote so mengi anajua upande wa ukawa hakuna kikwazo ngoma ipo ccm ndio maana anatoa support asimame fisadi lowassa.
Awa watu wa huko wanajifanya smart sana na wamejaliwa kipaji cha kushika watu maskio. Wenye akili kama mzee mchonga walifanikiwa kuwadhibiti.
Mmmmh. Ila ishara zinaonesha
Sio Mengi tu bali Watanzania wote ni Team Lowassa.
Mengi ni sawa na akina Gwajima kwani wanafuata upepo. Mengi alishawahi mponda sana Lowassa na kumpongeza sitta lakini kwa sasa lowassa kwake ni lulu. Gwajima na Mengi n walewale.
Bila shaka ufahamu wako umetawaliwa na UKABILA tuu na si vinginevyo...pole sana ndugu hii nchi haikufai,ushauri wangu nenda kaungane na ndugu zako Burundi
Kisukuma tunasema wajameni..huyu tajiri niliyekuwa namuona mzalendo hivi kimetokea nini jamani TAJIRI MZALENDO akabadilika hivi KWELI...Mwanzoni haya mambo niliona kama utani...eehee nilipokuja kuona picha kama hii nikapiga mstari TUMEPOTEZA mpiganaji SIJUI nini kilitokea..MAAMUZI YAKE ndiyo gharama yake. UVUMILIVU ni moja ya tunda la wenye SUBIRA.Binafsi nilijiaminisha huyu Mzee ni full Mzalendo weyiiiiii Yesu na Maria Kumbe si Team Mzalendo atii!!!Kumbe kuna nyuma ya pazia kwa wenye macho ya kuona mbali...safari nao wanapanga safu pakuche nao wataweka wao eti ni zamu yao...eheee kumbe haijalishi Mungu alisema nini kwenye UADILIFU ili mradi ndiye anae sikika sana kule kwenye CCM basi na kwa kuwa ni mwenzetu huku tutamfikisha kule nasi tuingiee.AHHAHHAHAAA basi siwangetafuta basi japo mzalendo wa kweli kweli...Itakuwa kweli maana mpinzani mkubwa wa Lowassa ni Makongoro.....
Habari za Makongoro hazitamkwi kabisa ITV.
Isitoshe mamvi kateka media zote....kiukweli NAIONA TANZANIA MPYA KUPITIA MAKONGORO, ambapo rais anaingia madarakani na HAKUNA WADHAMINI AU WAPIGA DILI WANAOMDAI.
Vita ya kupambana na VIBAKA ni kubwa..
Kuna bwana mmoja mjanja mjanja sana na anapenda kutumia vyombo vyake vya matangazo ikiwa ni pamoja na TV,Radio na magazeti.
Ni mjanja sana wa kukimbilia media pindi anapobanwa kwa hoja.
Ni mnafiki kwelikweli na ametumia makundi ya kijamii yenye shida kujijengea umaarufu asiostahili.
Amejidai ni mwenye nguvu ya media yenye uwezo wa kuangusha serikali!
Amewalaghai hata chadema kwa kujidai kurusha mikutano yao.
Ni mlaghai mno na mjanja sana wa kufuata upepo.
Ninachomuhurumia ni kwamba mwaka huu amaingia pabaya(wrong turn)
Kosa la kujiunga na kambi ya kifisadi ni kosa atakalojutia maishani kwani kwa mara ya kwanza ATASHINDWA na hapo ndio itakuwa kikomo cha UNAFIKI wake.
Bado majuma kama mawili tu kitaeleweka.
We mwenyewe mnafiki maana ungekuwa si mnafiki ungemtaja tukamjuwa. Hapa tuna dare ku talk openly.