wewe hakuna maadui wala marafiki wa kudumu,kinachoangaliwa ni maslahi ,Mengi yupo team Lowasa kwa sasaumesahau mara hii MENGI alikuwa upande gani wakati wa RICHMOND? aliigeuza ITV kuwa kama mali ya akina SITTA na ole sendeka
umeshasahau ugomvi wa fisadi Nyangumi na FISADI papa///
Unamkubali sana Lumumba?. Lumumba na Lowassa wana sifa zinazofanana kiutendaji.
Huyo ni mchumia tumbo anafata sauti ya tumbo lake.
Mkuu Meningitis, kusema ukweli kuna vitu vingine huwa vinasemwa tuu kwa madhumuni ya kitu kinachoitwa 'power consolidation', yaani kwa vile Mzee Mengi is a very powerful man, mtu yoyote mwenye kutafuta uongozi for the sake of gaining the powers, lazima atafanya alliances na the powerful ones, na hata asipofanya yeye, the hao 'the powerful ones' watamfuata kutaka alliances kwa sababu in politics, you never know atakuwa nani, hivyo ukijialign mapema you are safe na hivyo ndivyo wanavyofanya wafanya biashara wote wakubwa!.
Hebu fikiria jinsi Mengi na Rostam walivyotukanana kwenye ile vita ya Fisadi Papa na Fisadi Nyangumi!, halafu juzu hapa watu hawa wamekumbatiana hadharani na kukaa meza moja!.
Nijuavyo mimi Mzee Mengi ni kada wa CCM na yuko huru kumuunga mkono mtia nia yoyote na kumsupport kwa hali na mali bila kukiuka kanuni yoyote, ila pia nawajua baadhi ya makada wa CCM, (ukimuondoa Sabodo ambae ameisupport Chadema wazi wazi) wanaoisupport Chadema kwa siri!.
Kwenye politics hakuna urafiki wa kudumu wala uadui wa kuduma kuna urafiki tuu wa ki maslahi tuu, hivyo utashangaa hizo team Lowassa, team Membe team sijui nani, mgombea akiishapatikana zote zinakuwa kitu kimoja kumsupport!, kambi zote zinavunjwa, inatengenezwa kambi moja kubwa inayoitwa "the winning coalition", watu wanatinga tena ikulu kama kawa!.
Pasco
Itakuwa kweli maana mpinzani mkubwa wa Lowassa ni Makongoro.....
Habari za Makongoro hazitamkwi kabisa ITV.
Isitoshe mamvi kateka media zote....kiukweli NAIONA TANZANIA MPYA KUPITIA MAKONGORO, ambapo rais anaingia madarakani na HAKUNA WADHAMINI AU WAPIGA DILI WANAOMDAI.
Vita ya kupambana na VIBAKA ni kubwa..
Mkuu Meningitis, kusema ukweli kuna vitu vingine huwa vinasemwa tuu kwa madhumuni ya kitu kinachoitwa 'power consolidation', yaani kwa vile Mzee Mengi is a very powerful man, mtu yoyote mwenye kutafuta uongozi for the sake of gaining the powers, lazima atafanya alliances na the powerful ones, na hata asipofanya yeye, the hao 'the powerful ones' watamfuata kutaka alliances kwa sababu in politics, you never know atakuwa nani, hivyo ukijialign mapema you are safe na hivyo ndivyo wanavyofanya wafanya biashara wote wakubwa!.
Hebu fikiria jinsi Mengi na Rostam walivyotukanana kwenye ile vita ya Fisadi Papa na Fisadi Nyangumi!, halafu juzu hapa watu hawa wamekumbatiana hadharani na kukaa meza moja!.
Nijuavyo mimi Mzee Mengi ni kada wa CCM na yuko huru kumuunga mkono mtia nia yoyote na kumsupport kwa hali na mali bila kukiuka kanuni yoyote, ila pia nawajua baadhi ya makada wa CCM, (ukimuondoa Sabodo ambae ameisupport Chadema wazi wazi) wanaoisupport Chadema kwa siri!.
Kwenye politics hakuna urafiki wa kudumu wala uadui wa kuduma kuna urafiki tuu wa ki maslahi tuu, hivyo utashangaa hizo team Lowassa, team Membe team sijui nani, mgombea akiishapatikana zote zinakuwa kitu kimoja kumsupport!, kambi zote zinavunjwa, inatengenezwa kambi moja kubwa inayoitwa "the winning coalition", watu wanatinga tena ikulu kama kawa!.
Pasco
ni kipi kinachokuaminisha MENGI ni team LOWASSA? Mbona munamlisha mtu maneno mdomoni????Wasiwasi wangu ni kwa yeye kujifichaficha nyuma ya pazia kwa nini asiwe muwazi kwamba yu team lowassa ili na washabiki wake hasa walemavu wamuunge mkono?
Halafu kama tetesi hizi ni za kweli basi naanza kuamini kuwa Muhongo tulimsulubu lakini alikuwa ana jambo dhidi ya Mengi na wafanyabiashara wengine wanaojiita ni wazalendo.
umemalizaMengi ni mfanya biashara hivyo bila shaka atakuwa na sera kama ile ya wamarekani "kutokuwa na adui wala rafiki wa kudumu bali mslahi ya kudumu"
Fisadi papa na fisadi nyangumi wamekuwa kitu kimoja,watanzania tutakoma LOWASA akiwa lowasa,papa na nyangumi watapewa vitalu bureee,kodi watakwepa sana tena sana,EEEEH Mungu saidia LOWASA asiwe Raisi
Mkuu;
Huhitaji kuuliza maswali wakati vipimo vya ukweli viko wazi.
Mpime Mengi kwa kuangalia mlengo wa vyombo vyake vya habari.
Mengi kwa sasa ni mmoja wa kundi la TimuLowassa.
Wao wanaita timu ushindi!
Mengi siku zote anaangalia faida kwenye biashara zake halali na haramu. Imebidi sasa apatane na Rostam kwa ajili ya Lowassa. Siku za karibuni kalalamika Ikulu kumfanyia hujuma .
Anajua wale ni team Membe au anti Lowassa .
Mimi binafsi naona akili yake ipo kwenye vitalu vya gesi .. Labda Lowassa kampa ahadi hiyo .
Lakini akumbuke kwamba hao wanaweza kuja kumgeuzia kibao wakishapata . Ndiyo ataanza tena kulialia eti maisha yake yapo hatarini .. Huyu ni fisadi kama mafisadi wengine tu.[/QUOTE
Tumbili]