Hivi Mchakamchaka bado upo shuleni au ndio basi tena?

Watoto wenyewe hawa wa siku hizi ni dhaifu sana, mchakachaka watauweza wapi? Bendi za shule zenyewe hazipo.
 
Mtoto wawatu akikimbia akaanguka akazmia akafa akavunjika mtakuja kusema walimu wapuuz




Mwl fundish pokea mshahara kalpe maden
 
Ukimbize mjamzito au mama anaenyonyesha mchaka mchaka azimie, haaaaaaaa mkuu huna bahati
Wanasiasa wakija utajuta. Hao watetezi wa hao wajawazito ndio hawatasikia la muadhini wala mnadi swala
 
Ilikuwaga O LEVEL TU

Tena F4 MIEZI YA MWISHONI uzuri wa chuga ile baridi huogi hata kwa siku 35 na mwili haunuki DSM jau sana saivi
 
Hahaha
Nimegundua wazazi ndo maandazi kabisa bora nibadilike maana mzazi ukiwa active na mtoto anafuata.

Sasa wazazi bize na pisi kali unategemea watoto wanalelewaje
Na ukifika 55+ na afya mbovu kisukari + pressure vinagonga hodi 😁😁😁
 
Acha mawazo ya kijima shule kama I.S.T (International School of Tanganyik) wao wana treadmill kwa ajili ya vijana kufanya mazoezi
 
Ktk maisha ya shule nilikua nachukia mchaka mchaka, na kukimbia Smart Area,

Nlikua nakereka hadi baas, lol
Nilisomaga shule ya msingi chimala
Dah mara mchakamchaka,mara shika jembe ukalime basi vurugu mechi
Na baridi lile la mbeya Acha tu

Ova
 
Back
Top Bottom