Ukisoma makala za Kibanda, Ngurumo na wachangiaji wengine utaona kwamba gazeti hili limepoteza mvuto, weledi na kuaminika kwake. Sasa hivi ukiona habari katika gazeti hili unajiuliza mara mbili mbili juu ya kuaminika kwake.
Mheshimiwa Mbowe ni muumini mzuri sana wa uhuru wa vyombo vya habari na hii inajidhihirisha katka namna ambavyo ameliacha gazeti lake la Tanzania Daima kufanya kazi yake bila ya kuingiliwa. Policy hii ya hands off, ni nzuri na ni nguzo muhimu sana ya uhuru wa vyombo vya habari hasa katika nchi za dunia ya tatu ambako wamiliki wana nguvu sana. Hii ililipa heshima gazeti la Tanzania Daima na nina hakika mauzo yake yaliongezeka sana.
Kwa bahati mbaya sana aina hii ya utawala imetumiwa vibaya na mawakala wa ufisadi na washabiki wa siasa za kihafidhina ambao wametanda katika news room ya gazeti hili na sasa gazeti hili limegeuka kuwa ni mdomo wa mafisadi, sauti ya ukinzani usio na tija dhidi ya serikali na hasa Rais wa nchi na upotoshaji wa kijinga sana. Ukisoma makala za Kibanda, Ngurumo na wachangiaji wengine utaona kwamba gazeti hili limepoteza mvuto, weledi na kuaminika kwake. Sasa hivi ukiona habari katika gazeti hili unajiuliza mara mbili mbili juu ya kuaminika kwake. Hali hii sasa inaonekana kuwakera hata baadhi ya watumishi wa gazeti hili, na mfano mzuri ni makala ya Happiness Katabazi ya gazeti la tarehe 3 Julai, 2012 ambayo alielezea juu ya mgomo wa madaktari. Alishutumu jinsi makala zake mbili ambazo kimsimamo zinatofautiana na 'watawala' wa news room ya gazeti walivyoziminya kiasi cha kuhisi kwamba hata hiyo nayo isingetoka.
Kama hili linamtokea mwenzao ambaye msimamo wake au fikra zake ni tofauti, vipi kwa wengine?
Swali langu ni je, Mheshimiwa Mbowe haya anayajua?
Yako mambo ya kipuuzi yasiyopaswa kupuuzwa. Mafisadi anaowazungumzia huyo mpuuumbavu Hao mafisadi wanaoingilia makala za Kibanda na Ngurumo ni akina nani? Yaani anadhani Mbowe ni mpuuuzi wa kiwango chake? Yaani anataka kuuaminisha umma kwamba makala aliyoiandika Happiness Katabazi ndiyo mwelekeo wa Tanzania Daima? Hivi kwa akili yake anadhani Mbowe anaunga mkono ukatili wanaofanyiwa madaktari? Yaani anadhani Mbowe anaweza akakubaliana na makala ya Katabazi? Hebu afuatilie Bunge na aujue msimamo wa Chadema kuhusu mgomo wa madaktari na serikali.
Nasikitishwa na watu waliofikia hatua ya kumtusi hadi Mbowe kwa sababu tu ya kuwaunga mkono wapuuzi wa aina ya mwandishi wa thread hii ambaye ni miongoni mwa watu wanaotumia vibaya uhuru wa kupost thread katika jamvi hili kwa kuandika mambo ya hovyo kwa kiwango hiki.
Kwa taarifa yenu, Tanzania Daima halitakufa na halifi na kwa sasa linashika nafasi ya pili kwa mauzo baada ya gazeti la Mwananchi. Serikali ya kifisadi ambayo mwandishi wa thread anaisifia imefanya juhudi kubwa kuliua gazeti hili kwa kulinyima matangazo lakini hata hivyo ndani ya serikali hiyo wako watu waadilifu na wachapakazi ambao hawajapata kutishwa na wamekuwa wakiendelea kutangaza nasi.
Mimi ndiye Kibanda ambaye ni mhariri mtendaji wa Tanzania Daima. Niko hapa si kwa kubebwa bali kwa kujibeba kwa sifa na vigezo. Niko tayari kuondoka hapa wakati wowote iwapo mwajiri wangu ataona huo ndiyo uamuzi sahihi kwake. Viwango vyangu vinanipa fursa ya kufanya kazi katika gazeti lolote lile makini.
Hivi kama ni kweli gazeti la Tanzania Daima linachungulia kaburi, hayo magazeti mengine anayoyasifia Mbopo ni yapi? Hayo magazeti mengine yanayopendwa zaidi ya Mwananchi na Tanzania Daima ni yapi? Hayo magazeti mengine yanayoweza kujiendesha bila ruzuku (matangazo ya serikali) zaidi ya Mwananchi na Tanzania Daima ni yapi? Binafsi kwa magazeti ya kila siku ya Kiswahili, pesa yangu ikitoka ni kununua magazeti mawili tu, Mwananchi na Tanzania Daima na kwa magazeti ya kila wiki Raia Mwema na Mwanahalisi, period. Hayo mengine sina habari nayo na hata yakifa hakuna ninachopoteza lakini kwa haya mawili niko tayari hata kuchangia, Mbopo upo?
Hivi kama ni kweli gazeti la Tanzania Daima linachungulia kaburi, hayo magazeti mengine anayoyasifia Mbopo ni yapi? Hayo magazeti mengine yanayopendwa zaidi ya Mwananchi na Tanzania Daima ni yapi? Hayo magazeti mengine yanayoweza kujiendesha bila ruzuku (matangazo ya serikali) zaidi ya Mwananchi na Tanzania Daima ni yapi? Binafsi kwa magazeti ya kila siku ya Kiswahili, pesa yangu ikitoka ni kununua magazeti mawili tu, Mwananchi na Tanzania Daima na kwa magazeti ya kila wiki Raia Mwema na Mwanahalisi, period. Hayo mengine sina habari nayo na hata yakifa hakuna ninachopoteza lakini kwa haya mawili niko tayari hata kuchangia, Mbopo upo?
Comrade Mbopo,
Nilitaka niaanze kukuasa kwamba jaribu ku-deal na kitengo chako cha Habari hapo Foreign Affairs uongeze weledi zaidi nikaona utahamaki...nimeghairi
Wakuu wengine hapo juu baadhi yao wameacha kuwa objective.Emotions zimemwagika mno....tutulie
Hata Hivyo nirudi kwako Mbopo,Naona unataka kuturudisha kule kule tusikotaka.Kwamba unataka wamiliki wa vyombo vya habari waingilie vyombo vyao?na ofcourse bado kwa Tanzania hi ni changamoto kubwa na wakati mwingine demokrasia yetu inadumaa kwa sababu za baadhi ya wamiliki kuingilia vyombo vya habari.Niliankufurahia kuona tunatoka huko lakini mkuu kumbe wewe unataka turudi huko.Sikutegemea mtizamo huu kwa mtu wa level yako mkuu.Umeni-dissapoint leo
NB: Hebu rejea kwenye ile thread ambayo Membe ametoa majibu yenye utata kuhusu meli za Iran na Bendera ya Tanzania huku akijinadi amezingatia Resolution 920.Sijui hii Resolution na wajibu alioutaja Membe zinaingiliana vipi katika hili suala.Zanzibar inavuka mpaka na kukanyaga serikali ya Muungano katika medani za kimataifa.Naona series ya comments itafuata hapa.Someni angalao maandishi latest on 'intergrating UN-Sanctions for peace and security' iya akina David Cortright, George A. Lopez, and Linda Gerber-Stellingwerf, with Eliot Fackler and Joshua Weaver .Hii project ya Tanzania Daima haitawasaidia sana muda huu
Hivi bado kuna watu wanasoma Tanzania Daima?
Sijui siku JK akimaliza ungwe yake wataandika nini?
Fortunately message imefika na kuhemuka huku ni dalili kwamba yaliyokuwa dhana sasa hivi yamethibitishwa. Kibanda upende usipende unaliua gazeti kwa kudhani kwamba hiyo ni theatre ya ku-settle scores za watu dhidi ya serikali hii. Kwanza jazba na matusi uliyoyatoa humu, ambayo ni sifa nadra na isiyo ya kujivunia ya wahariri mahiri ni ishara kwamba yaliyosemwa ni ukweli unaochoma.
Nakushukuru hata hivyo kwa kuthibitisha kwamba hata Mbowe ana-share ideals hizo zinazoelekea kulididimiza gazeti hili kwa kaburi la sahau. Itafika wakati tuathitaji kujua ile ofisi ya gazeti la Umoja ulilosaidia kuliasisi inaendeshwa kwa fedha za nani.
Mimi sijali kama kuna mhariri aliyerekebisha kazi ya Katabazi maana hiyo ndiyo kazi ya mhariri wa habari au makala katika gazeti na nina hakika kazi za waandishi wengine hupitia mchakato huo huo. Naamini hata kazi nyingine za Katabazi amekuwa akirekebishwa hivyo hivyo, kwa nini hii ionekane ni ajabu? Suala hapa ni kwamba hata yeye mwenyewe amelalamika na hakuna kanusho kwamba gazeti hili limekuwa halipokea maoni yanayotofautiana na itikadi ya mhariri mtendaji au hata mmiliki wake. Katabazi amethibitisha tulichokuwa tunakishuku.
Nahukuru sana Kibanda, pamoja na jazba na matusi yako yanayoendelea kuonyesha ukosefu wa objectivity na tolerance yako, kwa kutujulisha kwamba kumbe wewe kamwe si mwandishi mwenye maadili. Una prejudices ambazo zinakufanya sasa uwe na stereo type kwamba kila anayekupinga ni CCM na kila CCM (isipokuwa wale unaowatumikia) ni mbaya au mbumbumbu. Kwa hakika ukweli unabaki kwamba Tanzania Daima ni aina ya magazeti ya Uhuru ambayo yanazidi kupoteza heshima na mvuto. Kama unasema Mbowe anajua haya basi nampa pole!
Comrade Mbopo,
Nilitaka niaanze kukuasa kwamba jaribu ku-deal na kitengo chako cha Habari hapo Foreign Affairs uongeze weledi zaidi nikaona utahamaki...nimeghairi
Wakuu wengine hapo juu baadhi yao wameacha kuwa objective.Emotions zimemwagika mno....tutulie
Hata Hivyo nirudi kwako Mbopo,Naona unataka kuturudisha kule kule tusikotaka.Kwamba unataka wamiliki wa vyombo vya habari waingilie vyombo vyao?na ofcourse bado kwa Tanzania hi ni changamoto kubwa na wakati mwingine demokrasia yetu inadumaa kwa sababu za baadhi ya wamiliki kuingilia vyombo vya habari.Niliankufurahia kuona tunatoka huko lakini mkuu kumbe wewe unataka turudi huko.Sikutegemea mtizamo huu kwa mtu wa level yako mkuu.Umeni-dissapoint leo
NB: Hebu rejea kwenye ile thread ambayo Membe ametoa majibu yenye utata kuhusu meli za Iran na Bendera ya Tanzania huku akijinadi amezingatia Resolution 920.Sijui hii Resolution na wajibu alioutaja Membe zinaingiliana vipi katika hili suala.Zanzibar inavuka mpaka na kukanyaga serikali ya Muungano katika medani za kimataifa.Naona series ya comments itafuata hapa.Someni angalao maandishi latest on 'intergrating UN-Sanctions for peace and security' iya akina David Cortright, George A. Lopez, and Linda Gerber-Stellingwerf, with Eliot Fackler and Joshua Weaver .Hii project ya Tanzania Daima haitawasaidia sana muda huu
Ben, mimi si-advocate wamiliki kuingilia kazi au uhuru wa vyombo wanavyovimiliki. Nilichomuuliza Mbowe na kikajibiwa kwa jazba kali sana na Mhariri Mtendaji ni iwapo anafahamu kwamba aina ya uandishi wa gazeti lake ni suicidal na kwa kiasi kikubwa limepunguza mvuto wake, na pengine mauzo yake? Mimi nilichukua malalamiko ya Katabazi kuwa ndiyo uthibitisho kwamba mawazo kinzani katika gazeti hili, ambayo yanakwenda kinyume na falsafa na itikadi ya wahariri na pengine na mmiliki, hayana nafasi na hayavumiliwi kamwe. Falsafa hiyo ni kusifia Chadema na wateule wachache wa CCM hata pasipostahili na kumshambulia Rais, serikali yake na CCM hata pasipostahili.
Nilichoshuhudia ni kutoka kwa Mhariri Mtendaji ni juvenile way of responding to constructive criticism na ukosefu wa uvumilivu. Hii ni kuonyesha kwamba huyu bwana ni Mungu mtu asiye tayari kukosolewa na kwake yeye, kupingana ni uadui. Nimefurahi composure iliyoonyeshwana Ngurumo japo malalamiko ya kwamba Serikali imetaka kuliua gazeti ni common feature na sababu eti haipewi matangazo as if hiyo ni kazi ya serikali. Hivi Guardian wanapata matangazo ya Barrick na kampuni nyingi binafsi kwa msaada wa serikali? Hakuna ambacho kingeizuia serikali kuua gazeti hili, kama serikali hii ingekuwa muumini wakuua vyombo vya habari. Hii ingekuwa rahisi kutokana na mwenendo wa matusi dhidi yake ulioonyeshwa na gazeti hili.
Kum-disown na kumbeza Katabazi ni kuzidi kuonyesha kwamba kuna mabaya tusiyoyajua yanayoendelea humo ndani, lakini lililo wazi ni kwamba makala ya Katabazi imekuwa mwiba hata kwa mmiliki mwenyewe.
Rai yangu ni kwamba tupingane kwa hoja na siyo matusi ya wale wanaojifanya kuwa ni vinara wa kuelimisha umma.
Hivi wewe usingenunua Tanzania Daima ungekuwaje? that is obvious..
Tanzania Daima = Uhuru; wanunuzi wa magazeti haya wanajulikana wana mrengo gani wa kisiasa..
Daima for chadema; uhuru for ccm
Hapo ni kwa kuwa gazeti linamilikiwa na mchagga mwenzako tu.hizo mbio zenu za ikulu zitawanyofoa roho
Gazeti hilo ni la propaganda.wachagga wanajihisi ni wamiliki wa gazeti hilo.mbona mengi hafanyi upuuzi wa hawa watu?mengi ni mchagga aliyestaarabika sana
Mbopo,Ben, mimi si-advocate wamiliki kuingilia kazi au uhuru wa vyombo wanavyovimiliki. Nilichomuuliza Mbowe na kikajibiwa kwa jazba kali sana na Mhariri Mtendaji ni iwapo anafahamu kwamba aina ya uandishi wa gazeti lake ni suicidal na kwa kiasi kikubwa limepunguza mvuto wake, na pengine mauzo yake? Mimi nilichukua malalamiko ya Katabazi kuwa ndiyo uthibitisho kwamba mawazo kinzani katika gazeti hili, ambayo yanakwenda kinyume na falsafa na itikadi ya wahariri na pengine na mmiliki, hayana nafasi na hayavumiliwi kamwe. Falsafa hiyo ni kusifia Chadema na wateule wachache wa CCM hata pasipostahili na kumshambulia Rais, serikali yake na CCM hata pasipostahili.
Nilichoshuhudia ni kutoka kwa Mhariri Mtendaji ni juvenile way of responding to constructive criticism na ukosefu wa uvumilivu. Hii ni kuonyesha kwamba huyu bwana ni Mungu mtu asiye tayari kukosolewa na kwake yeye, kupingana ni uadui. Nimefurahi composure iliyoonyeshwana Ngurumo japo malalamiko ya kwamba Serikali imetaka kuliua gazeti ni common feature na sababu eti haipewi matangazo as if hiyo ni kazi ya serikali. Hivi Guardian wanapata matangazo ya Barrick na kampuni nyingi binafsi kwa msaada wa serikali? Hakuna ambacho kingeizuia serikali kuua gazeti hili, kama serikali hii ingekuwa muumini wakuua vyombo vya habari. Hii ingekuwa rahisi kutokana na mwenendo wa matusi dhidi yake ulioonyeshwa na gazeti hili.
Kum-disown na kumbeza Katabazi ni kuzidi kuonyesha kwamba kuna mabaya tusiyoyajua yanayoendelea humo ndani, lakini lililo wazi ni kwamba makala ya Katabazi imekuwa mwiba hata kwa mmiliki mwenyewe.
Rai yangu ni kwamba tupingane kwa hoja na siyo matusi ya wale wanaojifanya kuwa ni vinara wa kuelimisha umma.
Hapo ni kwa kuwa gazeti linamilikiwa na mchagga mwenzako tu.hizo mbio zenu za ikulu zitawanyofoa roho
Gazeti hilo ni la propaganda.wachagga wanajihisi ni wamiliki wa gazeti hilo.mbona mengi hafanyi upuuzi wa hawa watu?mengi ni mchagga aliyestaarabika sana
wengi hawaelewi humu...wamejaa ubishi usio na mantiki