Hivi Magufuli atagombea tena?

Hivi Magufuli atagombea tena?

Wewe ndo unahasira unadhani ni watanzania wote, hiyo 2020 hata wabunge wenu watapungua nakuhakikishia, Magufuli ni raisi mpaka 2025 labda aamue kutogombea mwenyewe
Ndio mana nimekwambia ya Gambia au nchi jirani ya Zenji. Kama huamini jamaa kachuja kalagabaho
 
Tume ya uchaguzi ni ile ile pia January yupo ni mwendo wa uchakachuaji kama kawaida.
Ha ha ha bwana January aliutaka u PM. Ghafla kapewa majaliwa unadhani atapigania chama tena labda yey ndio awe mgombea.... Ha ha ha soma alama zake
 
MIAKA 20 AU MUGABE STYLE. ..MAY HE REIGN. ..MAY HE SHINE ALL OVER THE WORLD. ...
All over the world wakati hata mikutano ya SADC au AU tuu anaiogopa? Labda useme allover Chato na Shinyanga maana hata Kagera tuu ni excluded
 
All over the world wakati hata mikutano ya SADC au AU tuu anaiogopa? Labda useme allover Chato na Shinyanga maana hata Kagera tuu ni excluded
Kwani wafalme wanatangatanga? MFALME HUKAA KWENYE KITI CHAKE NA WATU NDIYO WANAMFUATA YEYE. ..RAIS WETU NI SIMBA
Hatidiebi 20170111_235611.jpg
 
Unasemaje wewe bana mdogo?
Nasema hivi bwana mkubwa, huoni aibu unatokwa na midevu kwa shemeji yako hapooo??? Jioni unabeba nondo, ugali kwa shemeji, hela ya saluni anatoa shemaji.Ukihama ukaenda kujitegemea, tutaongea lugha moja
 
Nakumbuka wakati wa kampeni alivyopata shida kujinadi, ikafika mahali mzee wa watu akaanza kupiga push ups, akaongea kila lugha ili raia wamuelewe haikutosha akaacha na chama chake akaanza kukiponda na kusema wao ndio wameifikisha hii nchi hapa.

Maswali pekee ambalo najiuliza mpaka sasa huyu mtu atagombea tena? Hakumbuki yaliyompata kipindi kile, hivi atawaeleza nini watanzania wamuelewe au ndio anasubiri 2019 awasaulishe, atarudi Kagera kuomba kura? Kule simiyu ataenda? Watumishi wa umma atawaomba kura? Wanafunzi wa vyuo vikuu je?, wahitimu wa vyuo vikuu atawambia nini? Atajiteteaje kuhusu Tanzania ya viwanda, nakumbuka alisema serikali yake ni viwanda hivyo viwanda vimefika vingapi? Au ndio vile anavyozindua vilivyo anza kufanya kazi kipindi cha Kikwete.

Vijijini huko atawaeleza nini kuhusu milioni 50 alizoahidi, ataenda huko kweli kuomba kura zao. Wafanyabiashara ambao wamefunga biashara zao kutokana na hali mbaya kiuchumi atawaambia nini? Kuna msemo unasema "usitukane mambo kabla hujavuka mto" nakumbuka Mhe alianza kwa mbwembwe na dhihaka nyingi kwa watangulizi wake, nadhani hivi sasa anajionea.
Tutafuta uchaguzi 2020 ili kubana matumizi!
 
Nakumbuka wakati wa kampeni alivyopata shida kujinadi, ikafika mahali mzee wa watu akaanza kupiga push ups, akaongea kila lugha ili raia wamuelewe haikutosha akaacha na chama chake akaanza kukiponda na kusema wao ndio wameifikisha hii nchi hapa.

Maswali pekee ambalo najiuliza mpaka sasa huyu mtu atagombea tena? Hakumbuki yaliyompata kipindi kile, hivi atawaeleza nini watanzania wamuelewe au ndio anasubiri 2019 awasaulishe, atarudi Kagera kuomba kura? Kule simiyu ataenda? Watumishi wa umma atawaomba kura? Wanafunzi wa vyuo vikuu je?, wahitimu wa vyuo vikuu atawambia nini? Atajiteteaje kuhusu Tanzania ya viwanda, nakumbuka alisema serikali yake ni viwanda hivyo viwanda vimefika vingapi? Au ndio vile anavyozindua vilivyo anza kufanya kazi kipindi cha Kikwete.

Vijijini huko atawaeleza nini kuhusu milioni 50 alizoahidi, ataenda huko kweli kuomba kura zao. Wafanyabiashara ambao wamefunga biashara zao kutokana na hali mbaya kiuchumi atawaambia nini? Kuna msemo unasema "usitukane mambo kabla hujavuka mto" nakumbuka Mhe alianza kwa mbwembwe na dhihaka nyingi kwa watangulizi wake, nadhani hivi sasa anajionea.

Uchaguzi wa 2020 utakuwa mgumu sanaaa kwa wapinzani na wananchi kwa ujumla. Huyu jamaa rekodi yake ni chafu mno, na nasema uchaguzi utakuwa mgumu maana atatumia nguvu nyingi sana kujaribu kubaki madarakani. Huyu si mtu anayeheshimu sheria wala misingi ya demokrasia. Kwahiyo, tutarajie jeshi, polisi, na tme ya uchaguzi kutumika kama kawaida kuhakikisha "ushindi" wake na CCM. Ila safari hii taasisi hizo nilizozitaja zitatumika kwa kiwango cha juu sana tena bila aibu. Ewe Mwenyezimungu tusaidieee...
 
Nakumbuka wakati wa kampeni alivyopata shida kujinadi, ikafika mahali mzee wa watu akaanza kupiga push ups, akaongea kila lugha ili raia wamuelewe haikutosha akaacha na chama chake akaanza kukiponda na kusema wao ndio wameifikisha hii nchi hapa.

Maswali pekee ambalo najiuliza mpaka sasa huyu mtu atagombea tena? Hakumbuki yaliyompata kipindi kile, hivi atawaeleza nini watanzania wamuelewe au ndio anasubiri 2019 awasaulishe, atarudi Kagera kuomba kura? Kule simiyu ataenda? Watumishi wa umma atawaomba kura? Wanafunzi wa vyuo vikuu je?, wahitimu wa vyuo vikuu atawambia nini? Atajiteteaje kuhusu Tanzania ya viwanda, nakumbuka alisema serikali yake ni viwanda hivyo viwanda vimefika vingapi? Au ndio vile anavyozindua vilivyo anza kufanya kazi kipindi cha Kikwete.

Vijijini huko atawaeleza nini kuhusu milioni 50 alizoahidi, ataenda huko kweli kuomba kura zao. Wafanyabiashara ambao wamefunga biashara zao kutokana na hali mbaya kiuchumi atawaambia nini? Kuna msemo unasema "usitukane mambo kabla hujavuka mto" nakumbuka Mhe alianza kwa mbwembwe na dhihaka nyingi kwa watangulizi wake, nadhani hivi sasa anajionea.
Muda si mrefu atanyang'anywa kofia moja .
 
Wenye upeo wa kuona mbali wameshaachana na hizi kelele,wameshagundua ni kelele tu,CCM ni ile ile,tume ya uchaguzi ni ile ile na imefanyiwa marekebisho msiyopenda kusikia zaidi,katiba ni ile ile,kwa kukukumbusha 2020 hakuna UKAWA kwa wenye kuelewa wameshaelewa,CDM kama watamuweka tena yule waliyemnadi ni FISADI PAPA tena,basi CCM ushindi ni wa saa 5 asubuhi,yule jamaa hatakaa aachiwe kikombe kwa namna yoyote aingie IKULU,haitakaa itokee.Ndio maana ya ule usemi wa afe beki afe kipa.
TELL THEM.......
 
Raisi yoyote makini lazima afanye reforms mapema kabisa wakati wa uongozi wake, tuliona Ben Mkapa alifanya reforms na zilisumbua lakini mifumo ilipokaa sawa watu walimuelewa. Sioni kwanini tunakata tamaa mapema namna hii, nadhani tumpe muda,nina imani tunaelekea sehemu nzuri. Kikubwa cha msingi ni diplomasia itumike zaidi.
 
Nakumbuka wakati wa kampeni alivyopata shida kujinadi, ikafika mahali mzee wa watu akaanza kupiga push ups, akaongea kila lugha ili raia wamuelewe haikutosha akaacha na chama chake akaanza kukiponda na kusema wao ndio wameifikisha hii nchi hapa.

Maswali pekee ambalo najiuliza mpaka sasa huyu mtu atagombea tena? Hakumbuki yaliyompata kipindi kile, hivi atawaeleza nini watanzania wamuelewe au ndio anasubiri 2019 awasaulishe, atarudi Kagera kuomba kura? Kule simiyu ataenda? Watumishi wa umma atawaomba kura? Wanafunzi wa vyuo vikuu je?, wahitimu wa vyuo vikuu atawambia nini? Atajiteteaje kuhusu Tanzania ya viwanda, nakumbuka alisema serikali yake ni viwanda hivyo viwanda vimefika vingapi? Au ndio vile anavyozindua vilivyo anza kufanya kazi kipindi cha Kikwete.

Vijijini huko atawaeleza nini kuhusu milioni 50 alizoahidi, ataenda huko kweli kuomba kura zao. Wafanyabiashara ambao wamefunga biashara zao kutokana na hali mbaya kiuchumi atawaambia nini? Kuna msemo unasema "usitukane mambo kabla hujavuka mto" nakumbuka Mhe alianza kwa mbwembwe na dhihaka nyingi kwa watangulizi wake, nadhani hivi sasa anajionea.

Na waTanzania walivyo watu wenye akili sana, tena watampa kura za kishindo. "wapiga dili" ndo watahangaika kumnyima kura.

Na MAPUNGUFU yake mengi bado naamini Kwenye opposition hakuna mtu credible wa kumuondoa Magufuli (read: Magufuli) madarakani hiyo 2020. Sasa unategemea nini kama opposition wenyewe ndo akina Zitto Kabwe? Upinzani wa Tanzania wamekuwa kama sisi. Siasa za ulalamishi baada ya kutoa dira mbadala kwa taifa letu.
 
Katiba ya JMT (1977) inamruhusu, na kanuni za chama chake zinamruhusu. Lakini ikitokea baadhi ya mawaziri wakajitenga kati ya sasa na 2020 kwa kuona kwamba hawaendani na kasi yake, hivyo kupisha wenye uwezo, watavurugana sana ndani ya chama chao, na sio kwa uchaguzi wa 2020 tu bali hata uchaguzi wa Mwenyekiti taifa baadae mwaka huu.
Mlisema hivyo hivyo 2015. Matokeo yake Lowassa akakimbilia chadema
 
Raisi yoyote makini lazima afanye reforms mapema kabisa wakati wa uongozi wake, tuliona Ben Mkapa alifanya reforms na zilisumbua lakini mifumo ilipokaa sawa watu walimuelewa. Sioni kwanini tunakata tamaa mapema namna hii, nadhani tumpe muda,nina imani tunaelekea sehemu nzuri. Kikubwa cha msingi ni diplomasia itumike zaidi.

"Anachotuonesha ni tabia yake sio uongozi"
Hashim Rungwe 2016.
 
Maswali pekee ambalo najiuliza mpaka sasa huyu mtu atagombea tena? Hakumbuki yaliyompata kipindi kile, hivi atawaeleza nini watanzania wamuelewe au ndio anasubiri 2019 awasaulishe, atarudi Kagera kuomba kura? Kule simiyu ataenda? Watumishi wa umma atawaomba kura? Wanafunzi wa vyuo vikuu je?, wahitimu wa vyuo vikuu atawambia nini? Atajiteteaje kuhusu Tanzania ya viwanda, nakumbuka alisema serikali yake ni viwanda hivyo viwanda vimefika vingapi? Au ndio vile anavyozindua vilivyo anza kufanya kazi kipindi cha Kikwete.

Vijijini huko atawaeleza nini kuhusu milioni 50 alizoahidi, ataenda huko kweli kuomba kura zao. Wafanyabiashara ambao wamefunga biashara zao kutokana na hali mbaya kiuchumi atawaambia nini? Kuna msemo unasema "usitukane mambo kabla hujavuka mto" nakumbuka Mhe alianza kwa mbwembwe na dhihaka nyingi kwa watangulizi wake, nadhani hivi sasa anajionea.
Mkuu Molembe, hili sio swali bali ni jibu tuu, kwa CCM, the incumbent during the half term is always the only candidate!. Hivyo atagombea tena na atashinda kwa kishindo kikubwa kuliko sasa, maana Watanzania ni wepesi wa kusahau, kufikia 2020 mabomba nchi yatakuwa yanatoa maziwa na asali, hakuna atakayekumbuka dhiki tena!. Wahanga wa tetemeko watakuwa wamesahau, watumishi wa umma mishahara minono, mikopo ya elimu ya kwa wote, vyuo vyote, kozi zote! .

Lakini wakati wengine mkiuliza kama atagombea tena, sisi wenzenu tunashauri 2020 tusifanye uchaguzi wa rais ni wastage tuu of time, money & resources. Tena tunashauri kama nchi haijanyooka, tubadili katiba tumpe vipindi vingine 2 hadi 2035 au awe kama Mugabe kabisa.

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Paskali
 
Back
Top Bottom