Hivi maex huwa wanaachana?

Hivi maex huwa wanaachana?

Sometimes mother nature sends an ex into your life to see if you are still stupid
 
Sad. Kuachana Kazi. Inaitwa Soultie usiposali na kuweka sawa akili kwenye mahusiano yako mapyaaa!! Utapoteza muda Sanaa...
 
Si mnywaji kivile
Natumia mara moja moja sana
BTW ilikuwa furahiday
Ulijisikiaje kumegwa na wanaume wawili kwa siku moja? Nani alikufikisha kileleni vizuri zaidi? Nani alipiga bao nyingi zaidi? Zilikuwa ngapi? Shimo halikujaa?

Hakyamama wanawake wengine mna nyota ya mitetea... kila jogoo lililo karibu linajimegea wakati wowote... Hofu yangu msije mkarithi utagaji mayai
 
Ulijisikiaje kumegwa na wanaume wawili kwa siku moja? Nani alikufikisha kileleni vizuri zaidi? Nani alipiga bao nyingi zaidi? Zilikuwa ngapi? Shimo halikujaa?

Hakyamama wanawake wengine mna nyota ya mitetea... kila jogoo lililo karibu linajimegea wakati wowote Ile... Hofu yangu msije mkarithi utagaji mayai
Huyo ni ma*laya tu aache visingizio vya kipumbavu
 
acha ujinga binti , tulia na mmoja, hakupendi huyo, angekupenda msingeachana, wanawake kama wewe ndio wanaofanya wanaume wapoteze imani hata kwa wanawake wasio na mambo mengi hivyo
Na siku yakimkuta ya kumkuta akaachwa na wote atarudi tena hapa ooh wanaume hiki mara kile....
 
Ulijisikiaje kumegwa na wanaume wawili kwa siku moja? Nani alikufikisha kileleni vizuri zaidi? Nani alipiga bao nyingi zaidi? Zilikuwa ngapi? Shimo halikujaa?

Hakyamama wanawake wengine mna nyota ya mitetea... kila jogoo lililo karibu linajimegea wakati wowote Ile... Hofu yangu msije mkarithi utagaji mayai
😂😂😂😂
 
To my man though najua si mpenzi wa JF, am really sorry
They set me up
Isitoshe hukupaswa kuniacha pale alone
Am sorry nimeteleza and I will try isijirudie coz najua,ukijua hutanidhuru but muhusika atapata madhara and I don't want that .
Unatakiwa ujifunze kukaa kimya sio kila kitu cha kuongea whatf boy wako anaijua id yako eee...nyie ndo mnanasaga mimba za nje mnakimbilia kwa mashost kuwaambia mtoto sio wa baba naniliu looh be a woman my dear
 
Sasa nafanyaje?namkwepaje huyu mtu?
My man is very serious about me
Akisikia haya sijui hata nitamjibu nini
hiyo ni pata potea ndugu
jiulize uliachana nae kwa sababu gani ndio utapata majibu, haiwezekani watu mmeachana kwa magomvi labda ya kumfumania halafu sasa hivi umwone malaika
 
Kwahiyo nimekamatika ama?
Jaribu bahati yako kwa kumwambia unaolewa hivi karibuni na ikibidi vaa pete ya kuzuga kwamba tayali mambo yapo moto uone msimamo wake
Nia hapa ni kwamba inaonekana bado anakukubali sana na kwakuwa umri unasogea lazima ifike pahala muoane muanze maisha mmeshabunyana sana inatosha tualikeni tuje tule pilau sasa
Nadhani umenisoma ukiona bado haeleweki piga chini mazima hata kama anauume una sukari jikaze uachane nae
 
Kuwa makini sana kama huwezi kujipanga mwenyewe na kuchukua maamuzi sahihi utapangwa.
 
Back
Top Bottom