oh pasua kichwaaaaaaaHabari za jion wana jamii forum.
Basi siku ya ijumaa bwana nilitoka kazini mapema, niliaga naenda kufanya kazi za nje kumbe nina miadi ya mupenzi.
Imefika saa 6 mchana nikaondoka kazini,tukakutana sehemu,haooo hadi maeneo flani tukafanya yetu.By saa mbili usiku tukaamua tutoke tupite sehemu tupate supu kidogo kabla ya kuagana.
Tumefika pale tukawakuta na mashost zangu,tukala,story mbili tatu, then mista akanambia babe tuondoke.Nikamjibu mbona bado mapema,kama pameanza kuhappen vile; basi akaniachia laki 1 akanambia enjoy na wenzio ila usichelewe kurudi kwako.Nikamjibu ok.Akaondoka kwani alikuwa kachoka so he needed to rest.
Bwana weeh kumbe ile sehemu alikuwepo ex wangu,ila sikumwona.Sema yeye aliniona na mtu so akachil.Mashost zangu kumbe walijua yupo ila hawakunambia.Alivoona babe wangu kaondoka ,akahama meza akaja meza yetu.Lahaula nikabak mdomo wazi tu.Akajisogeza akakaa karibu nami,akaanza agiza vinywaji kwa fujo huku akinambia watakuja wengi sana ila yeye ndo mmiliki.Mashost wakawa wanasapot tu.Mwisho wa siku tuliondoka wote.
Tucut the long story short, hivi maex huwa hawaachani?Manake naona aibu hata kupokea simu za mupenzi since jmos.Niko very serious naye,sema naona kama na huyu ex kama anakuja kasi sana.Nahisi hata ataweza niharibia kwa my man.Nifanyeje niepuke huu msala?
Hahahahaha dah!Huyo ni ma*laya tu aache visingizio vya kipumbavu
Ukweli gani mzinzi wewe?Hahaha ukwel mchungu
Katubu mama i feel u na Usirudie tena tafuta marafiki wenye chalenge za kwenda mbele na sio hao watakurudisha nyuma watakuset sanaTo my man though najua si mpenzi wa JF, am really sorry
They set me up
Isitoshe hukupaswa kuniacha pale alone
Am sorry nimeteleza and I will try isijirudie coz najua,ukijua hutanidhuru but muhusika atapata madhara and I don't want that .
To my man though najua si mpenzi wa JF, am really sorry
They set me up
Isitoshe hukupaswa kuniacha pale alone
Am sorry nimeteleza and I will try isijirudie coz najua,ukijua hutanidhuru but muhusika atapata madhara and I don't want that .
Habari za jion wana jamii forum.
Basi siku ya ijumaa bwana nilitoka kazini mapema, niliaga naenda kufanya kazi za nje kumbe nina miadi ya mupenzi.
Imefika saa 6 mchana nikaondoka kazini,tukakutana sehemu,haooo hadi maeneo flani tukafanya yetu.By saa mbili usiku tukaamua tutoke tupite sehemu tupate supu kidogo kabla ya kuagana.
Tumefika pale tukawakuta na mashost zangu,tukala,story mbili tatu, then mista akanambia babe tuondoke.Nikamjibu mbona bado mapema,kama pameanza kuhappen vile; basi akaniachia laki 1 akanambia enjoy na wenzio ila usichelewe kurudi kwako.Nikamjibu ok.Akaondoka kwani alikuwa kachoka so he needed to rest.
Bwana weeh kumbe ile sehemu alikuwepo ex wangu,ila sikumwona.Sema yeye aliniona na mtu so akachil.Mashost zangu kumbe walijua yupo ila hawakunambia.Alivoona babe wangu kaondoka ,akahama meza akaja meza yetu.Lahaula nikabak mdomo wazi tu.Akajisogeza akakaa karibu nami,akaanza agiza vinywaji kwa fujo huku akinambia watakuja wengi sana ila yeye ndo mmiliki.Mashost wakawa wanasapot tu.Mwisho wa siku tuliondoka wote.
Tucut the long story short, hivi maex huwa hawaachani?Manake naona aibu hata kupokea simu za mupenzi since jmos.Niko very serious naye,sema naona kama na huyu ex kama anakuja kasi sana.Nahisi hata ataweza niharibia kwa my man.Nifanyeje niepuke huu msala?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]CCM INAWATAKIA ASUBUHI NJEMA [emoji23][emoji23][emoji23]
The iron batterfly naomba ruhusa nitoe angalizo. Vitu vingine tuwe tunajaribu kutovitoa katika hadhara. Kwangu ulijijengea heshima na kuonekana kama mtu anayejielewa katika ule uzi wa Moshi! Kwa uzi huu, sijui.
Na hapo mashost zako ndio wamemwambia aje hapo ,kuzeeshwa unazeeshwa wewe mashost wanakula pesa ya jamaa yani wanawake urafiki wenu wakinafki sana yani hao kama wanakuuza kwa X wako. Maana hapo washapiga mpunga kwakumletea jamaa nyama na watakwambia umgande X ili wao wapige pesaHahahah sina bana
Sema ananifoc
Na hataki kushindwa kapata jeuri ya pesa
Nyie Hamna msimamo wowote!!Wanaachana kama mwanamke ataamua.
Nadhani sitakosea naye nikimwita ni kati ya mimalaya ya JF kama akina Demiss , Money Penny etcDaaaah kumbe tuko wengi
Kwanza nilikuwa sijui kama ni mwanaume au mwanamke
Pili nilikuwa namuheshimu sana mana ni mtu wa nyumbani nikupendapo
Kumbe ni mtu wa simama twende duuuh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aminaCCM INAWATAKIA ASUBUHI NJEMA [emoji23][emoji23][emoji23]
Hi hi hi hi my foot uwe kama akina condoleza,mama migiro takataka wewe hi hi hi maharage ya mbeya.Rudi kausome vizuri ule uzi
Hakuna sehemu nilisema mimi ni mwanaume
Ama mnadhan wanawake wote wanaandika kama kina wolper?sorry to disappoint you
am a woman And very proud of it
Tupo type za kina rose migiro,ana tibaijuka,condoleezer rice ,dambisa moyo etc humu JF
Sorry to burts your buble