Hivi maex huwa wanaachana?

Hivi maex huwa wanaachana?

Unafukua makaburi...pengine alikasirika akajibu hivyo...je kama amebadilika hayupo hivyo sasa...

Yaishe...turudi kwa mada
Yaishe ila akinamama hamjui kutumia vyema mitandao! Tusimlaumu muna love
 
Yani apo ushauri wangu ni wewe chagua... kama una future baki na ulie nae... lakin kama bado ujana una sumbua ebu kula pesa za ex... maana ame rudi kukufumua alafu akuache tena
 
Kama Kaka Yenu Mkubwa, Ambaye Mambo Haya Nimeyaona na Kuyapractice kwa Zaidi ya Miaka 25 Sasa,

Kwenye Mapenzi Hakuna Kuachana ile Moja kwa Moja, tena hasa kama mmeshiriki Ngono.. lile tendo huwafanya ninyi kubadilishana Nguvu fulani na roho fulani (nzuri/mbaya).. hii inamuathiri zaidi mtoto wa Kike.. kwa Maana hiyo hata akiachana na Mwanamume wake.. ataachana tu na kuwa na mwanaume mwingine na kujitahidi kumpenda zaidi huyo mwingine.. lakini akiwa anamkumbuka ex wake kwa kiasi Fulani.

Hivyo ni Rahisi sana kwa Mwanamke kumrudia Ex wake.. Hawaachanagi Moja kwa Moja labda iwe Mwanaume Hamtaki Kabisa!

Your Lovely Brother!
Thanks shukran for your insight
 
Kama Kaka Yenu Mkubwa, Ambaye Mambo Haya Nimeyaona na Kuyapractice kwa Zaidi ya Miaka 25 Sasa,

Kwenye Mapenzi Hakuna Kuachana ile Moja kwa Moja, tena hasa kama mmeshiriki Ngono.. lile tendo huwafanya ninyi kubadilishana Nguvu fulani na roho fulani (nzuri/mbaya).. hii inamuathiri zaidi mtoto wa Kike.. kwa Maana hiyo hata akiachana na Mwanamume wake.. ataachana tu na kuwa na mwanaume mwingine na kujitahidi kumpenda zaidi huyo mwingine.. lakini akiwa anamkumbuka ex wake kwa kiasi Fulani.

Hivyo ni Rahisi sana kwa Mwanamke kumrudia Ex wake.. Hawaachanagi Moja kwa Moja labda iwe Mwanaume Hamtaki Kabisa!

Your Lovely Brother!
Mkuu una experience kubwa sana, miaka 25 ni umri wa mtu. Hebu tupe Cv yako katika hili mkuu
 
Asemaje wakati namkwepa?
Namwogopa mwanaume wangu yes na nampenda,sitak ajue yaliyojiri
Najua maamuz yake
Ex naye anataka ajulikane
Pesa zimempa kiburi


Ahaa hapo Nimekuelewa....

sasa kumbe wewe ndo unawachanganya????? it's too bad my dear.... kama upo serious chagua mmoja tu


Cc Smart911
 
Nyuzi kama hizi wanaandikaga wanaume kuweni makini
 
Kaja kukurarua tu na kukuzeesha ilazimishe akili yako kutulia na mista wako

Ukiendekeza nyege mshindo utasanda sana
Yaani kama Ulikuwa na mpenzi mkaachana au akakuacha kamwe usimrudie. Kuwa Na akili yako .Anza upya .usiangalie nyuma.Kaja kukuumiza zaidi.Kimbiaa mbio.Hao ndo waharibifu tu wa akina Dada .Kama huyo anaharibikiwa bila kujijua maskini apoteze mchumba wa kweli
 
Yaani kama Ulikuwa na mpenzi mkaachana au akakuacha kamwe usimrudie. Kuwa Na akili yako .Anza upya .usiangalie nyuma.Kaja kukuumiza zaidi.Kimbiaa mbio.Hao ndo waharibifu tu wa akina Dada .Kama huyo anaharibikiwa bila kujijua maskini apoteze mchumba wa kweli
Anasema eti wanapendana na ni first wake
 
Back
Top Bottom