Hivi maex huwa wanaachana?

Hivi maex huwa wanaachana?

Ex Kwanza Ni Nani? Maana Naona Wengi Mnanitindiganya Hapa, Lets Say Umekuwa Na Mahusiano matatu Tofauti Yaliyopita, Na Sasa Upo Na Current, Sasa Kati Ya Hawa Watatu Waliopita Ex Ni Yupi? Kuhusu Dada , Nakupa Big Up KwaKutoa La Moyoni, May Be Ungekaa Nalo Lingekutesa Zaidi
 
kwa mwendo huu labda tukaoe kenya, maex hupasha kiporo....naona unataka kuchambua na mchele upike wali kabisa. Btw, all the best
 
Ama kweli mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, wanaume wanavyomtolea maneno makali bi Dada wa watu kana kwamba wao wasafi sana chamsingi hapa huyu Dada aonywe na kushauriwa imjenge katika maisha yake, wote ni wakosefu jitazame nafsini mwako mangapi umefanya huwezi yasimulia mbele za umma, pia na wewe Dada sio vyema ulivyofanya na unamsifia x wako kisa pesa na vyeo sio poah ebu vaa viatu vya mr wako akisikia atajisikiaje au ukifanyiwa na Mr ako how do yuo feel, jirekebishe fuata nafsi yako inavyosema tubu kimoyo moyo na maisha yaendelee
 
Back
Top Bottom