Hivi maex huwa wanaachana?

Hivi maex huwa wanaachana?

We mwenyewe huna msimamo na una tamaa na huelewi thamani ya ndoa; nakushauri tulia na uheshimu ndoa yako
 
Acha ujinga wewe .We unadhani Watu wetu wakisoma hapa Si watajua wadada wote tuna akili mbuzi kama zako.
Acha kutuharibia wenzako .Unafanya kitu kibaya sana. We ni MTU mzima unajifanya hujui baya ufanyalo. Inaumiza sana
Ndiyo maana jamaa mmoja kasema anawapiga mbupu na kuwaita kenge
 
Hahahaha na kweli manake hapo hcho kitakua ni kidimbwi wallah..ila ni mchokonozi weweeee
Siri nyingine mtu unapaswa kulala nazo kaburini. Sasa kenyewe kanajisifia kulambwa na midume miwili kwa siku moja. Bahati mbaya ukute huyo Mr wake ni member JF na hapa ameshakasoma.
 
Siri nyingine mtu unapaswa kulala nazo kaburini. Sasa kenyewe kanajisifia kulambwa na midume miwili kwa siku moja. Bahati mbaya ukute huyo Mr wake ni member JF na hapa ameshakasoma.
Asalalee unaniita kame,kakasoma?really hujanitendea haki,mie ni binadamu niliyekamilika
Toa maoni ila usikashifu utu wangu
Hakuna mkamilifu chini ya jua
 
Back
Top Bottom