Hivi maex huwa wanaachana?

Hivi maex huwa wanaachana?

Hapo umekosea watake radhi wanawake aisee, wanawake ni waaminifu sana na ndo wanaolinda ndoa, nawaheshimu sana wanawake.

Mwanamke popote ulipo heshima kwako, na Mungu akusamehe kama uliwahi kuzini.
Ok nawataka radhi
Satisfied?
 
huna akili wew mwanamke means hujali utu unajali pesa yaan kuwa na mwanamke kama ww ni saw na kujipeleka vitan kwa gharama zako mwenyewe
Ok basi anzia sitajal pesa tena
Manake wanawake wakibongo ni watakatifu sana,hawachepuki,hawataki pesa,inshort wanapenda sana wanaume makapuku
 
Ok basi anzia sitajal pesa tena
Manake wanawake wakibongo ni watakatifu sana,hawachepuki,hawataki pesa,inshort wanapenda sana wanaume makapuku
Uzi huu unaniuma utazan mm ni uyo Mr wako aisee ngoja ninye grass moja ya jack Daniel nilale .Usiku mwema eeh mwanamke usie rizika sorry for that.
 
Back
Top Bottom