Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 8,247
- 25,191
Mi ndo maana sinaga mashost...maana unaweza fanyiwa kitu kibaya na rafiki ubaki unajuta moyoni...Ila alinifosi sikujua kama yuko pale
Na inaonyesha alipanga na mashost zangu
Mi ndo maana sinaga mashost...maana unaweza fanyiwa kitu kibaya na rafiki ubaki unajuta moyoni...Ila alinifosi sikujua kama yuko pale
Na inaonyesha alipanga na mashost zangu
Tumia zile mbinu zenu maalumSasa nafanyaje?namkwepaje huyu mtu?
My man is very serious about me
Akisikia haya sijui hata nitamjibu nini
maisha ni yako kula uliwe utamu ukolee, kama ex kaikoleza mpeee kama huna future na mshkaji wako, kama una malengo na mshkaji ex mpotezeeIla alinifosi sikujua kama yuko pale
Na inaonyesha alipanga na mashost zangu
KeNijibu....
wewe mE au kE
Kisha nikuambie kitu
Unaonekana unafurahia sana hiliHahahah sina bana
Sema ananifoc
Na hataki kushindwa kapata jeuri ya pesa
Yes they did that to meMi ndo maana sinaga mashost...maana unaweza fanyiwa kitu kibaya na rafiki ubaki unajuta moyoni...
Hahaha zipi hizo?Tumia zile mbinu zenu maalum
We nawe...muache mwenzio...aombe ushauri...utafikiri wewe umekamilika..mxiuuuuThe iron batterfly naomba ruhusa nitoe angalizo. Vitu vingine tuwe tunajaribu kutovitoa katika hadhara. Kwangu ulijijengea heshima na kuonekana kama mtu anayejielewa katika ule uzi wa Moshi! Kwa uzi huu, sijui.
No ni ijumaa hiiIngekua ni jumatano ungekua ni ex wangu, maana nlimsindikiza hadi pale gerezani stand ya mwendokasi... akafuatwa na bwana ake. Btw, maisha ni yako kula uliwe utamu ukolee, kama ex kaikoleza mpeee kama huna future na mshkaji wako, kama una malengo na mshkaji ex mpotezee
Ahhh achana na ishu za moshiThe iron batterfly naomba ruhusa nitoe angalizo. Vitu vingine tuwe tunajaribu kutovitoa katika hadhara. Kwangu ulijijengea heshima na kuonekana kama mtu anayejielewa katika ule uzi wa Moshi! Kwa uzi huu, sijui.
Pole mama...jitahidi uwe msiri kwa mambo yako kwa marafiki...yote wamefanya kwakuwa walikujua kiundani...wasingejua wasingekufanyia kituYes they did that to me
Kwan niliwasiliana nao kabla nikawaambia
Nitafika na shemu wao
Kumbe washampanga
Hamna sema ex niliwahi mpenda sana and he was my firstUnaonekana unafurahia sana hili
Kila la heri
Si ndo hapoWe nawe...muache mwenzio...aombe ushauri...utafikiri wewe umekamilika..mxiuuuu
Hahaha so kanitafuta?Hawaachani bali hua wanatafutwa, kwani wewe hujasoma zile hesabu za “Find X”?
acha ujinga binti , tulia na mmoja, hakupendi huyo, angekupenda msingeachana, wanawake kama wewe ndio wanaofanya wanaume wapoteze imani hata kwa wanawake wasio na mambo mengi hivyoNo si nyege mshindo
Halafu yuko njema sana,kapata mavyeo kama yote
Na hataki kujificha
Sijui namkwepaje
Kumbe wanataka niharibu kwa shemela wao ama?Pole mama...jitahidi uwe msiri kwa mambo yako kwa marafiki...yote wamefanya kwakuwa walikujua kiundani...wasingejua wasingekufanyia kitu
dah, we binti wewe! utamuua mwenzio kwa magonjwaAhhh achana na ishu za moshi
Mimi ni binti na kutumika kawaida sana
Ntaleta episode ya arusha usijal
Kwa mwanamke kutumika kawaida sana