Hivi maex huwa wanaachana?

Hivi maex huwa wanaachana?

Hivi hukuwahi leta mada ya sijui chuo kikuu stand imefanyaje mara internship na uliashiria kwamba jinsia yako ni ya kiume leo umekua msichana?
 
Hakika wanawake hamnaga msimamo.mtaka vyote hukosa vyote.
Huwa nawacheki wakwe wanavopangaga mahali ndefu kumbe binti yao kapigwa miti balaa mtu unazoa kombo.
Ila chagua mmoja dada yangu uwe huru na penzi.
Binti kapigwa miti. Mpaka kaisha ladha
 
Hivi hukuwahi leta mada ya sijui chuo kikuu stand imefanyaje mara internship na uliashiria kwamba jinsia yako ni ya kiume leo umekua msichana?
Rudi kausome vizuri ule uzi
Hakuna sehemu nilisema mimi ni mwanaume
Ama mnadhan wanawake wote wanaandika kama kina wolper?sorry to disappoint you
am a woman And very proud of it
Tupo type za kina rose migiro,ana tibaijuka,condoleezer rice ,dambisa moyo etc humu JF
Sorry to burts your buble
 
Hakuna cha ma X wala ma S mtoa mada Una tamaa sugu iliyopitiliza my advice take care bila ya hivyo utapata tabu san
 
Uzi huu unaniuma utazan mm ni uyo Mr wako aisee ngoja ninye grass moja ya jack Daniel nilale .Usiku mwema eeh mwanamke usie rizika sorry for that.
Ok
But nimesema ukweli to easy the guilty conscious
Nampenda and haitojirudia
It was just wine that day
 
Rudi kausome vizuri ule uzi
Hakuna sehemu nilisema mimi ni mwanaume
Ama mnadhan wanawake wote wanaandika kama kina wolper?sorry to disappoint you
am a woman And very proud of it
Tupo type za kina rose migiro,ana tibaijuka,condoleezer rice ,dambisa moyo etc humu JF
Sorry to burts your buble
Kwaio Rose Migiro na hao wengine wote wanakua hawana msimamo na kuyumba yumba baada ya kukutana na huyo jamaa? Which bubble did you burst?
 
Kama huyo mista wako humpedi mpige chini endelea na huyo ex wako wa sasa hivi. Baada ya muda mista atakuwa ex yan x2 tayari ikishakuwa hivyo mpige chini x1 utafute mista mwingine huku previous mista akibaki kama ex endelea na utaratubu huu hadi utakapo fika miaka 60 .
 
Habari za jion wana jamii forum.

Basi siku ya ijumaa bwana nilitoka kazini mapema, niliaga naenda kufanya kazi za nje kumbe nina miadi ya mupenzi.
Imefika saa 6 mchana nikaondoka kazini,tukakutana sehemu,haooo hadi maeneo flani tukafanya yetu.By saa mbili usiku tukaamua tutoke tupite sehemu tupate supu kidogo kabla ya kuagana.
Tumefika pale tukawakuta na mashost zangu,tukala,story mbili tatu, then mista akanambia babe tuondoke.Nikamjibu mbona bado mapema,kama pameanza kuhappen vile; basi akaniachia laki 1 akanambia enjoy na wenzio ila usichelewe kurudi kwako.Nikamjibu ok.Akaondoka kwani alikuwa kachoka so he needed to rest.

Bwana weeh kumbe ile sehemu alikuwepo ex wangu,ila sikumwona.Sema yeye aliniona na mtu so akachil.Mashost zangu kumbe walijua yupo ila hawakunambia.Alivoona babe wangu kaondoka ,akahama meza akaja meza yetu.Lahaula nikabak mdomo wazi tu.Akajisogeza akakaa karibu nami,akaanza agiza vinywaji kwa fujo huku akinambia watakuja wengi sana ila yeye ndo mmiliki.Mashost wakawa wanasapot tu.Mwisho wa siku tuliondoka wote.

Tucut the long story short, hivi maex huwa hawaachani?Manake naona aibu hata kupokea simu za mupenzi since jmos.Niko very serious naye,sema naona kama na huyu ex kama anakuja kasi sana.Nahisi hata ataweza niharibia kwa my man.Nifanyeje niepuke huu msala?
Malay.a ni malay.a tu.sungura tope hatare!
 
Kama huyo mista wako humpedi mpige chini endelea na huyo ex wako wa sasa hivi. Baada ya muda mista atakuwa ex yan x2 tayari ikishakuwa hivyo mpige chini x1 utafute mista mwingine huku previous mista akibaki kama ex endelea na utaratubu huu hadi utakapo fika miaka 60 .
Hahaha ushauri gani huu sasa?
 
Back
Top Bottom