Hivi maex huwa wanaachana?

Hivi maex huwa wanaachana?

Anakujua unapenda mtu mwenye title ndio maana anatumia uzaifu wako.
Huna msimamo.Pole yake mpenzi mpya maskini.
 
Jaribu bahati yako kwa kumwambia unaolewa hivi karibuni na ikibidi vaa pete ya kuzuga kwamba tayali mambo yapo moto uone msimamo wake
Nia hapa ni kwamba inaonekana bado anakukubali sana na kwakuwa umri unasogea lazima ifike pahala muoane muanze maisha mmeshabunyana sana inatosha tualikeni tuje tule pilau sasa
Nadhani umenisoma ukiona bado haeleweki piga chini mazima hata kama anauume una sukari jikaze uachane nae
Ok will try that
Thanks for the advice too
 
Umeniudhi sana japo simfahamu huyo man wako, bado una tabia za kitoto sana hata tukushauri usimpe lazima utampa tu maana kwa kusoma saikolojia ya maandishi yako inaonekana wewe si mchoyo kwa wanaume wanaojiweza kiuchumi.

Fuata ulichoamua kufanya japo ujue Mungu hakukuumba uzini
Naelewa sana
And sorry kukukwaza
Asiye na dhambi na awe wa kwanza kunirushia jiwe hahahah
 
this is entirely up to you young lady. You can choose to be firm and tell him exactly what it is. Mpotezee huyo, alafu ndivo inavokuwaga, ukishapata mtu serious kuna vijishetani flani vinarudi speed 180km/hr!

Don't even blame mwenzako kuwa hakutakiwa kukuacha pale, wewe ni mtu mzima and the fact that alikuacha ina maanisha anakuamini kufanya maamuzi yako wewe kama wewe, labda kama ulikuwa umelewa. Hao marafiki nao sio wazuri. Tisa, kumi, kila kitu ni wewe, take accountability, jiulize....you did it coz it made you feel.....you move on because you want.....ivo. huyo ex ulimuacha for a reason...y'all stay in your lanes unless you want it to be otherwise.
Noted with thanks
 
Daaaah kumbe tuko wengi

Kwanza nilikuwa sijui kama ni mwanaume au mwanamke

Pili nilikuwa namuheshimu sana mana ni mtu wa nyumbani nikupendapo

Kumbe ni mtu wa simama twende duuuh
Mie chasaka purely sio mchaga and am proud of that
Kama we chasaka mwenzangu well and good
 
Back
Top Bottom