Kwa ujumla wake ni kama HAIWEZEKANI. CCM ni kama mtu anayekukaribisha ule chakula kwa tabasamu pana, kumbe kaficha panga mgongoni mwake.Uko sahihi, lakini pale wanapofanya vizuri tuwapongeze sio kuwashabikia zisiwe siasa za chuki.
Hahhh ule muda wa kuisoma namba ndo huu mkuu ila tusubiri 2025 time will talk.Ukiwa na Ubongo timamu uliobeba akili timamu zinazofanya kazi kwa utimamu wake, akili timilifu, HUWEZI KUISHABIKIA CCM.
Mimi naamini Bunge lijalo tutaingiza Wabunge wengi kama ilivyokuwa Awamu ya nne.Kwa ujumla wake ni kama HAIWEZEKANI. CCM ni kama mtu anayekukaribisha ule chakula kwa tabasama pana, kumbe kaficha panga mgongoni mwake.
Ni lini wao wamesifia wapinzani zaidi ya kukejeli!!
Kweli asee, kuna namna watu wanashabikia kitu mpaka unajiuliza hawa watu wana akili kweliUkiwa na Ubongo timamu uliobeba akili timamu zinazofanya kazi kwa utimamu wake, akili timilifu, HUWEZI KUISHABIKIA CCM.
Mimi naona wote Ni mazwazwa maana wenye akili tumeshindwa kutumia akili zetu kuwaondoa mazwazwa fisiemu maana hata 2025 kwa mwenendo huu itakuwa Kama 2020.Ukiwa na Ubongo timamu uliobeba akili timamu zinazofanya kazi kwa utimamu wake, akili timilifu, HUWEZI KUISHABIKIA CCM.
Mbona umeandika majibu !Kuwa bavicha ndio kipimo Cha utimamu!!!punguzeni kuandika ushuzi
Hiki ulichoandika kinaonesha una akili timamu??Usinijibu kiholela like you are talking to CHADEMA F6 Div 0 mwenyekiti wenu, answer me with deep thinking, acha ujinga i said, CCM usiizoea kijinga jinga hivyo, nakwambia ukweli, uwe na adabu na CCM, acha ujinga for last time.
Mkuu umeandika vizuri, Mie nimejiunga Chadema 2019 na ndo mwaka nikajiunga jf, hasa baada ya kuona kila aliekua ccm anaonekana ndo mwenye nchi, nilisema hapana ngoja niwe chadema ukweli Sina stress, ccm ni janga la taifa, wahuni Sana hawaUkiwa na Ubongo timamu uliobeba akili timamu zinazofanya kazi kwa utimamu wake, akili timilifu, HUWEZI KUISHABIKIA CCM.
Wewe mwenyewe hujui kuandika vizuri.Usinijibu kiholela like you are talking to CHADEMA F6 Div 0 mwenyekiti wenu, answer me with deep thinking, acha ujinga i said, CCM usiizoea kijinga jinga hivyo, nakwambia ukweli, uwe na adabu na CCM, acha ujinga for last time.
Hata zilipokuwepo, zimewafaidia nini??Acha kutisha watu wewe,hizo enzi za kishenzi zilipita.
Maandishi yako yanathibitisha ukweli wa hoja ya mleta uzi.Badala yake utashanikia chama gani?
Wahuni hao, hakuna jipya mkuu, na wapumbavu wakubwaNa wahuni wanateteana kweli kweli tena kihunihuni!
Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
UTASHABIKIA CHAMA CHA WALIMUBadala yake utashanikia chama gani?
Heri ukweli unaoumiza, kuliko uongo unaofurahisha umeyatoa ya moyoni na moyo wako naamini utakuwa mwepesiUkiwa na Ubongo timamu uliobeba akili timamu zinazofanya kazi kwa utimamu wake, akili timilifu, HUWEZI KUISHABIKIA CCM.