Hivi kweli kuna Mtanzania mwenye akili zake timamu anaweza kuichagua tena CCM, kwa Lipi?

hivi kweli kuna Mtanzania, mwenye akili zake timamu, anayefahamu maana halisi ya maendeleo, tangu tulipopata uhuru, tulikuwa na rasilimali gani, tungepaswa kuwa wapi, na kulinganisha na hapa tulipo sasa, halafu ukaelezwa sababu ya sisi Tanzania kuwa hapa tulipo, ni CCM, then hivi kuna Mtanzania kweli, mwenye akili zake timamu, bado ataichagua CCM?!.

Nawatakia uchaguzi mwema hapo kesho.

Paskali
 
hivi kweli kuna Mtanzania, mwenye akili zake timamu, anayefahamu maana halisi ya maendeleo, tangu tulipopata uhuru, tulikuwa na rasilimali gani, tungepaswa kuwa wapi, na kulinganisha na hapa tulipo sasa, halafu ukaelezwa sababu ya sisi Tanzania kuwa hapa tulipo, ni CCM, then hivi kuna Mtanzania kweli, mwenye akili zake timamu, bado ataichagua CCM?!.

N
awatakia uchaguzi mwema hapo kesho.

P
asco


Watakayoichagua wakapimwe akili
 
Wanabodi, zikiwa zimabaki siku 14 tufanye uchaguzi wetu, naomba kuuliza, hivi kweli kuna Mtanzania, mwenye akili zake timamu, anayefahamu maana halisi ya maendeleo, tangu tulipopata uhuru, tulikuwa na rasilimali gani, tungepaswa kuwa wapi, na kulinganisha na hapa tulipo sasa, halafu ukaelezwa sababu ya sisi Tanzania kuwa hapa tulipo, ni CCM, then hivi kuna Mtanzania kweli, mwenye akili zake timamu, bado ataichagua CCM?!.

Hili ni swali tuu!.

Mimi si miongoni mwa wale wanaodai CCM haikafanya kitu, no!, CCM imefanya mengi mazuri, but it is not enough!, Tanzania tuko hapa tulipo, kwa sababu kuna things CCM should have done, but it didn't, as a result, ndio tuko hapa tulipo!, ila kwa kumsikiliza Magufuli, you can see his genuinity to change things for the better, tatizo ni CCM!.

Nawatakia Jumapili Njema.

Paskali
Watu wanapiga sana kelele kumhusu Magufuli!. He is our choice, tulimchagua wenyewe, lazima sasa tumvumilie anapolinyoosha taifa hili!.

Paskali
 
Hivi kuna mtanzania mwenyee akili zake ambazo sio za viroba aache kuchagua ccm...... jibu hayupo...... ila wa viroba wapo.... na viroba vinapgwa marufuku sooon sijui itakuwajeeeee
 
Hivi kuna mtanzania mwenyee akili zake ambazo sio za viroba aache kuchagua ccm...... jibu hayupo...... ila wa viroba wapo.... na viroba vinapgwa marufuku sooon sijui itakuwajeeeee
Viroba vina shida gani mkuu huoni kuwa vinatumika kuifadhia nafaka kwaajili ya chakula?
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom