Kibra49
Senior Member
- Jul 19, 2017
- 179
- 47
mm bado ss sijui bado wanaprocess hata sielew coz hamna option bado waniambia nisubirieila nikijaribu kureapply naona inakubali ,means sjachaguliwa
mm bado ss sijui bado wanaprocess hata sielew coz hamna option bado waniambia nisubirieila nikijaribu kureapply naona inakubali ,means sjachaguliwa
wameshatoa list ya waliochaguliwa kajiangaliemm bado ss sijui bado wanaprocess hata sielew coz hamna option bado waniambia nisubirie
duh sipo mzee ,ila haina noma nilikuwa nimeshapata NIT kwaio nilikuwa nasubir nione kama na huku ntapatawameshatoa list ya waliochaguliwa kajiangalie
poa mwanang mi naona kama ndoto zangu zmegonga mwambaduh sipo mzee ,ila haina noma nilikuwa nimeshapata NIT kwaio nilikuwa nasubir nione kama na huku ntapata
NIT ipo vzr kakaze toooduh sipo mzee ,ila haina noma nilikuwa nimeshapata NIT kwaio nilikuwa nasubir nione kama na huku ntapata
haina noma mkuu sema nimechaguliwa automobile sijui ntaweza kubadili nchukue mechanicalNIT ipo vzr kakaze tooo
dah sorry bro ila jaribu kutuma tena usivunjike moyo is better to trypoa mwanang mi naona kama ndoto zangu zmegonga mwamba
iyo ndo ipo bomba xaxa coz wataharam ni wa chache San apa TZ pia tambua tecno inakua gari za ksasa znaongezeka wataalam ndo aknaahaina noma mkuu sema nimechaguliwa automobile sijui ntaweza kubadili nchukue mechanical
asante mkuu kwa ushauri ntaufanyia kaziiyo ndo ipo bomba xaxa coz wataharam ni wa chache San apa TZ pia tambua tecno inakua gari za ksasa znaongezeka wataalam ndo aknaa
leo nimeingia kwenye acc yangu ya dit wameniandikia ivo ngoja nisubir had jioni nione itakuajdaaah kila course nayoweka DIT wanasema imejaa nimechoka mwili roho na kila kitu naona dalili ya kubaki kwetu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wapigie haiwezekani selection zmeshatoka alafu wanakwambia hazijatokaleo nimeingia kwenye acc yangu ya dit wameniandikia ivo ngoja nisubir had jioni nione itakuaj