Yaan saizi bora uombe tu vyuo vingine ili uwe na option...rather than waiting chuo kimojame mpaka xaxa cjapata chuo hta kimoja nilichoaply nasubir DIT peke yake nahofia kuaply kwingne naweza kuchaguliwa DIT wakinitema wameniua aisee
hongera mzee![]()
Me tangia ijumaa asubuhi...
Asante nduguhongera mzee
hata me nimeandikiwa hvo mkuu yan sielewiNo Any System News Yet!1. After Submission of Application you will be notified of status.Ndivyo wanavyoandika kwenye acc nikingiia
acha tu sasa iv naona imekuwa shut down wanasema ipo kwenye maintenance after two hrs itarudhata me nimeandikiwa hvo mkuu yan sielewi
kesho nawafata chuo palepaleacha tu sasa iv naona imekuwa shut down wanasema ipo kwenye maintenance after two hrs itarud
utanipa info mkuukesho nawafata chuo palepale
pamoja mkuuuta
utanipa info mkuu
najaribu saivi wanasemafungua mtandao umekubali asubuhi hii ila mm bado wamenambia nisubir hawaja nipa majibu bado
jaribu kuapply tena vyuo vingine mkuu wakitoa kama umechaguliwa hujapoteza kitu ,isijekuwa majanga kama hutochaguliwame mpaka xaxa cjapata chuo hta kimoja nilichoaply nasubir DIT peke yake nahofia kuaply kwingne naweza kuchaguliwa DIT wakinitema wameniua aisee
hawataki 2rd round hawaSijui itakuwaje maana iyo second round yenyewe mwisho jnne tarehe 10 na bado system inaleta wenge!...huu mwaka noma sana
Tayari DIT wameapload ila hiyo document haijakaa vizuri sijui imekaaje maana majina machache na namba nyingiInatia aibu sana kuona chuo chenye sifa ya kutoa maengineer na maIT nchini tena wenye kuaminika inashindwa kurekebisha system na kuupload selection mpaka leo karibu vyuo vyote vishatoa majina kimebaki chenyewe,mnatia aibu hii xana