Elak
Member
- Jul 24, 2017
- 56
- 137
Kua na subira...mbona sisi inakataa kufungua
Kua na subira...mbona sisi inakataa kufungua
sawasawa mkuu,wewe ulitumia cm au pc kuloginKua na subira...
Nilitumia cm mkuu...ilikua jana asubuhi web yao ilikua haisumbui..ila sahv haifungukisawasawa mkuu,wewe ulitumia cm au pc kulogin
sidhani kama wanalifahamu hili tatizoNilitumia cm mkuu...ilikua jana asubuhi web yao ilikua haisumbui..ila sahv haifunguki
Watakua wanajua...Hii system ya kila chuo kutoa selection zake imekua tatizo...vyuo vingi vimeshindwa kufungua websites zinazoweza kupokea wa2 wengi kwa mda m1 ..hii ndo inasababisha igome kufunguka..sema wametangaza jana watatoa after 2 dayz(j3)sidhani kama wanalifahamu hili tatizo
Watakua wanajua...Hii system ya kila chuo kutoa selection zake imekua tatizo...vyuo vingi vimeshindwa kufungua websites zinazoweza kupokea wa2 wengi kwa mda m1 ..hii ndo inasababisha igome kufunguka..sema wametangaza jana watatoa after 2 dayz(j3)
2 daysNi j3...weekend sio ck za kaz![]()
![]()
2 days
duh nitie moyo tu ndugu yanguNi j3...weekend sio ck za kaz
Utapata tu nduguduh nitie moyo tu ndugu yangu
AminaUtapata tu ndugu
AminaUtapata tu ndugu
fungua mtandao umekubali asubuhi hii ila mm bado wamenambia nisubir hawaja nipa majibu badoAmina
fungua mtandao umekubali asubuhi hii ila mm bado wamenambia nisubir hawaja nipa majibu badoAmina
Mkuu yani hata system ya kuomba second round inazingua kinoma. Sijui kunani DIT?Me mwenyewe imebid niombe second round tu maana siwaelewi ila leo nataka niwafate chuo pale pale
Hata me bado wanaandika hvo hvo majibu bado
Yan hata selection zenyewe hawajatoa me nimeingia nimeambiwa hvo hiki chuo zero kabisa yanMkuu yani hata system ya kuomba second round inazingua kinoma. Sijui kunani DIT?
j4 mwisho kuaply second round wanatupa wkt mgumu xanamay be tusubir had j3
Sijui itakuwaje maana iyo second round yenyewe mwisho jnne tarehe 10 na bado system inaleta wenge!...huu mwaka noma sanaYan hata selection zenyewe hawajatoa me nimeingia nimeambiwa hvo hiki chuo zero kabisa yan
me mpaka xaxa cjapata chuo hta kimoja nilichoaply nasubir DIT peke yake nahofia kuaply kwingne naweza kuchaguliwa DIT wakinitema wameniua aiseeSijui itakuwaje maana iyo second round yenyewe mwisho jnne tarehe 10 na bado system inaleta wenge!...huu mwaka noma sana