Hivi kwanini watu wanapenda kuambiwa uongo?

Hivi kwanini watu wanapenda kuambiwa uongo?

mi nadhani hilo swali ungemuuliza HAWA, labda angekujibu... haya yote unayoyaona kwao wameambukizwa tu na HAWA
 
Hapana, hawapendi kuambiwa uongo.. ila wanapenda kuambiwa kile wanachotaka kusikia...
 
ndo ipo hvyo hata wewe uliyenaye alutumia uongo mwingi mpk sasa anakumiliki 7bu wengi walikuwa wanatupa ndoano hapo kwako sasa ilibidi atumie mbinu ya uwongo ili kukuteka
lbda km ulimpenda mwenyewe
Ulikuwepo wakati natongozwa?
 
Hawapendi kuambiwa uongo ila nyie wanaume ndo mnapenda kuwadanya ili mtimizie haja zenu. Sema uwa wanaamini uongo wenu mwisho wa siku wanaishia kuumia
 
Uongo ni lugha rahisi sana kwao kuliko ukweli, siunajua tena vichwa vina mambo mengi!!
 
Dear not all of us women ...tuko hivyo.. Binafsi nikigundua nimedanganywa I'm willing kwa kweli to walk away without a fight maana nafsi na moyo vitakuwa vinanisuta na always ask my self why he did this , why, why, why. Especially kwa mahusiano na kitu kinacho involve my heart uuh, uuhh no kwa kweli .. Yaani Sitokuwa na Peace at all .. But kwa situation yako mmhmm sina la kusema kwa kweli.. I'm so sorry kwa hilo.. I think may be , may be she was expected so much good from you, but she forgot that good things don't come from lies but to tell the truth .. Thanks..
 
siyo ukweli wote utaniweka huru mkuu mwingine utanipa stress
Uko sawa, mara nyingi madaktari wakiona mgonjwa haponi wanakupa dawa umrudishe home,wanakwambia atapona huku wakijua haponi...inasaidia san
 
Uko sawa, mara nyingi madaktari wakiona mgonjwa haponi wanakupa dawa umrudishe home,wanakwambia atapona huku wakijua haponi...inasaidia san
la sivyo ingekuwa hali mbaya sana uongo mzuri uendelee tu
 
la sivyo ingekuwa hali mbaya sana uongo mzuri uendelee tu
Nami nasema uendelee tu hamna namna, hata ukigawa huko nje ukaja kunidanganya kuwa leo hujiskii vizuri ntaridhika tu
 
yaani mwanamke ukimwambia ukweli utaskia " unasema uongo"

Tena katika maswala ya kimapenzi ndo usiseme ; utaskia

" baby utanioa"

Jamaaa : ndio usijali

Kumbe jamaa hauna hata mpangoo

Dadekii bila kuambiwa uingo hupati kituuuuuu
 
Kwenye hesabu kuna topic ya logic tulisomaga:-

If False then False =>True.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom