Hivi kwanini wanaume weupe wanaroho mbaya sana?

Hivi kwanini wanaume weupe wanaroho mbaya sana?

Hivi kuna mtu mweupee...mi brown sio mweupe,mweupe ni karatasi.hivo rombaya ni nini?maana si makaladi asilimia kubwa jatina roho mbaya,shitani ni mweusi,roho mbayaa asilimia kubwa imeundwa kwa watu weusi,mtu ajamkosea kitu yuko rathi kukufanyia ulozi usifanikiwe,black people hakujui humjui ila yuko tayari kukwamisha deal.rangi manjanoo...rangi ya mtume,udogo wa makka,ndo maana hata jitu jeusi lina jikrim kuwa manjano.kuhusu roho mbaya ni jinsi ulivyo umbwaa na makuzi yako,kuna usemi unasemaa,"jamaq black kama ukuta wa jiko,anangeu usoni,kichwani ana para,jicho moja kawekewa la kondo,ila jamaa ana roho nyepesi kama ya kuku...ila sasa Jamaa hb kama. Chriss brown,bonge la tozi,full unyunyu kumbe ni bonge la haslaaa ana roho ngumu kama ya paka
 
Mtu unaamua ukae zako kuepuka Ukimwi na mayutiai na makaswende na manuksi na mamikosi unaonekana roho mbaya
Anzisha uzi uone shughuli yake
me sio nabii ila kama hujawahi danga lolote linikute
 
Eh, mniache
Nimalizane na Birthday yangu
Me.maswali mengine sina majibu
Kuna mrembo ameulizq hapa

Ivi kwanini wanaume weupe wana roho mbaya sana, hawana upendo kwa watu wengine they are very selfish

Kwenye mechi wabovu

Kwenye ndoa wana roho mbaya sana kwanini lakini?

Hili swali niliulizwaga zamani sana miaka ya 70 na jirani yangu, mwisho wa siku aliolewa na mwanaume mweusi, tangu alipoolewa yule mwanaume mweupe hajawahi kuoa mpaka wa leo mwaka 2025 na hana mtoto

Haya weupe na weusi muungane hapa mje mjibu swali la mrembo
Uli ulizwa hilo swali miaka ya 70. Eh..
Kumbe wewe ni Bibi yangu.

Shikamoo Bibi, naomba niseme ya kwamba kwa heshima yangu kwako kama mjukuu wako mbona una nisema wakati mimi mjukuu wako ni mweupe ila sina hiyo roho mbaya wala siyo selfish.
 
Eh, mniache
Nimalizane na Birthday yangu
Me.maswali mengine sina majibu
Kuna mrembo ameulizq hapa

Ivi kwanini wanaume weupe wana roho mbaya sana, hawana upendo kwa watu wengine they are very selfish

Kwenye mechi wabovu

Kwenye ndoa wana roho mbaya sana kwanini lakini?

Hili swali niliulizwaga zamani sana miaka ya 70 na jirani yangu, mwisho wa siku aliolewa na mwanaume mweusi, tangu alipoolewa yule mwanaume mweupe hajawahi kuoa mpaka wa leo mwaka 2025 na hana mtoto

Haya weupe na weusi muungane hapa mje mjibu swali la mrembo
Tatizo mnaomba hela mno! Yaani kizazi cha wanawake wa mida hii toka mkiwa tumboni wazo la kuwa mnakuja kuijaza dunia limefutika na limeingia wazo la kuomba hela! Nyie ndio mna roho mubaya!!
 
Nina ndugu yangu wa kiume mweupee ana miaka 38 sasa hajawahi oa, hana mtoto, hata mchumba hana. Ana kazi ya kuwadharau sana wanawake hasa weusi. Kila.mwanamke.anamuona mbaya hasa baada ya kulala nae. December kwenye kikao cha familia aliulizwa kama angalau ana mtoto familia imjue hata likitokea lolote imuhudumie jamaa akasema hana mtoto yeyote. Tulimpa jukumu la kutuletea mke December hii lakini mpaka hapa ninavyojua hatafanikiwa😀
Kwani Nae Anawapangia Yenu Ya Namna Ya Kuishi??
 
Kumbe ni kweli ee
Acheni wadada walalamike
Hii mijitu sijui inajikuta nani labda
Farao au herodes?
Ovyo kabisa
Ndio maana wengi wanaishia kuwa ma gigolo, na wakizeeka wanatia huruma wewe,

Mijitu😂.

Mnapenda watoto weupe ila hamuwapendi wanaume weupe.

Dharau ni hulka ya mtu na haina uhusiano na pigment.

Pole kwa yaliyokukuta
 
Hivi kuna mtu mweupee...mi brown sio mweupe,mweupe ni karatasi.hivo rombaya ni nini?maana si makaladi asilimia kubwa jatina roho mbaya,shitani ni mweusi,roho mbayaa asilimia kubwa imeundwa kwa watu weusi,mtu ajamkosea kitu yuko rathi kukufanyia ulozi usifanikiwe,black people hakujui humjui ila yuko tayari kukwamisha deal.rangi manjanoo...rangi ya mtume,udogo wa makka,ndo maana hata jitu jeusi lina jikrim kuwa manjano.kuhusu roho mbaya ni jinsi ulivyo umbwaa na makuzi yako,kuna usemi unasemaa,"jamaq black kama ukuta wa jiko,anangeu usoni,kichwani ana para,jicho moja kawekewa la kondo,ila jamaa ana roho nyepesi kama ya kuku...ila sasa Jamaa hb kama. Chriss brown,bonge la tozi,full unyunyu kumbe ni bonge la haslaaa ana roho ngumu kama ya paka
 
Back
Top Bottom