Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
- Thread starter
- #21
KiruNdiyo.
KiruNdiyo.
Kumbe ni kweli eeNina ndugu yangu wa kiume mweupee ana miaka 38 sasa hajawahi oa, hana mtoto, hata mchumba hana. Ana kazi ya kuwadharau sana wanawake hasa weusi. Kila.mwanamke.anamuona mbaya hasa baada ya kulala nae. December kwenye kikao cha familia aliulizwa kama angalau ana mtoto familia imjue hata likitokea lolote imuhudumie jamaa akasema hana mtoto yeyote. Tulimpa jukumu la kutuletea mke December hii lakini mpaka hapa ninavyojua hatafanikiwa😀
Weupe ni balaaMambo hayaeleweki kabisa mkuu
Si umeona hapo juu kwa comment braza ameongea ukweliUchonganishi huu jamani
Endelea kuamini kama unachokiona ndio hicho.Naamini kwa asilimia zote wewe ni mweupe
Embu sema.ukweli
Kwanini una roho mbaya?
Weupe ni balaa
Huyu mweusi aliemsaidia Yesu msalaba, alilazimishwa na weupe kutoa huduma hiyo.Mwanaume mweusi ana upendo sana, huruma na upole
Ndio maana Yesu Kristo alisaidiwa msalaba na mwanaume mweusi
Hamjiulizi tu
Bahati nzuri diniani kote tuna uhuru wa kuamua kwenye jambo hiliNina ndugu yangu wa kiume mweupee ana miaka 38 sasa hajawahi oa, hana mtoto, hata mchumba hana. Ana kazi ya kuwadharau sana wanawake hasa weusi. Kila.mwanamke.anamuona mbaya hasa baada ya kulala nae. December kwenye kikao cha familia aliulizwa kama angalau ana mtoto familia imjue hata likitokea lolote imuhudumie jamaa akasema hana mtoto yeyote. Tulimpa jukumu la kutuletea mke December hii lakini mpaka hapa ninavyojua hatafanikiwa😀
Wanaume white tunasimangwa sana🥲Eh, mniache
Nimalizane na Birthday yangu
Me.maswali mengine sina majibu
Kuna mrembo ameulizq hapa
Ivi kwanini wanaume weupe wana roho mbaya sana, hawana upendo kwa watu wengine they are very selfish
Kwenye mechi wabovu
Kwenye ndoa wana roho mbaya sana kwanini lakini?
Hili swali niliulizwaga zamani sana miaka ya 70 na jirani yangu, mwisho wa siku aliolewa na mwanaume mweusi, tangu alipoolewa yule mwanaume mweupe hajawahi kuoa mpaka wa leo mwaka 2025 na hana mtoto
Haya weupe na weusi muungane hapa mje mjibu swali la mrembo
hawa akina kasimu je?Yule ni mweusi buana
Sema hela imemtakatisha