Hivi kwanini wanaume weupe wanaroho mbaya sana?

Hivi kwanini wanaume weupe wanaroho mbaya sana?

Nina ndugu yangu wa kiume mweupee ana miaka 38 sasa hajawahi oa, hana mtoto, hata mchumba hana. Ana kazi ya kuwadharau sana wanawake hasa weusi. Kila.mwanamke.anamuona mbaya hasa baada ya kulala nae. December kwenye kikao cha familia aliulizwa kama angalau ana mtoto familia imjue hata likitokea lolote imuhudumie jamaa akasema hana mtoto yeyote. Tulimpa jukumu la kutuletea mke December hii lakini mpaka hapa ninavyojua hatafanikiwa😀
Acheni kuwapangia watu maisha..kama hana interest na kuoa haina haja ya kumlazimisha
 
wewe tangu 2014 ni wanaume weupe wanaume weupe psychologically inawezekana unaumia kwa namna ulivyo.

yani unajilinda dhidi ya mfadhaiko wasiwasi au hali mgumu kihisia .

psychologically una kitu kina itwa denial yani unajikataa au unakataa ukweli wa jambo ili kuepuka maumivu ya kihisia .
Yawezekana ni kazi moja mbovu mnoo...sasa inaoona hadi wanaume wamependeza anapandwa na kihoro..mwsho wa siku anakuja kutapika huku jukwaan
 
Eh, mniache
Nimalizane na Birthday yangu
Me.maswali mengine sina majibu
Kuna mrembo ameulizq hapa

Ivi kwanini wanaume weupe wana roho mbaya sana, hawana upendo kwa watu wengine they are very selfish

Kwenye mechi wabovu

Kwenye ndoa wana roho mbaya sana kwanini lakini?

Hili swali niliulizwaga zamani sana miaka ya 70 na jirani yangu, mwisho wa siku aliolewa na mwanaume mweusi, tangu alipoolewa yule mwanaume mweupe hajawahi kuoa mpaka wa leo mwaka 2025 na hana mtoto

Haya weupe na weusi muungane hapa mje mjibu swali la mrembo
Hao ni wanawake wenzenu isipokua jinsia!!

Yaani sisi black tupo hapa tunang'aa kama nyoka unaenda kuolewa na cheupe dawa kisa anaringa ni mweupe!!?

Kuweni makini nyie!
 
Eh, mniache
Nimalizane na Birthday yangu
Me.maswali mengine sina majibu
Kuna mrembo ameulizq hapa

Ivi kwanini wanaume weupe wana roho mbaya sana, hawana upendo kwa watu wengine they are very selfish

Kwenye mechi wabovu

Kwenye ndoa wana roho mbaya sana kwanini lakini?

Hili swali niliulizwaga zamani sana miaka ya 70 na jirani yangu, mwisho wa siku aliolewa na mwanaume mweusi, tangu alipoolewa yule mwanaume mweupe hajawahi kuoa mpaka wa leo mwaka 2025 na hana mtoto

Haya weupe na weusi muungane hapa mje mjibu swali la mrembo
Mmeo kazi anayo!
 
Eh, mniache
Nimalizane na Birthday yangu
Me.maswali mengine sina majibu
Kuna mrembo ameulizq hapa

Ivi kwanini wanaume weupe wana roho mbaya sana, hawana upendo kwa watu wengine they are very selfish

Kwenye mechi wabovu

Kwenye ndoa wana roho mbaya sana kwanini lakini?

Hili swali niliulizwaga zamani sana miaka ya 70 na jirani yangu, mwisho wa siku aliolewa na mwanaume mweusi, tangu alipoolewa yule mwanaume mweupe hajawahi kuoa mpaka wa leo mwaka 2025 na hana mtoto

Haya weupe na weusi muungane hapa mje mjibu swali la mrembo
Wivuuu tu..
Watu weusi ni kizazi cha laana
weusi ni nembo ya ufukara.
 
Roho mbaya hiyo inatafsiriwa kwa kigezo na sifa zp?
Au n HELA inatakiwa kutoka kwa maandishi
Endelea kuamini kama unachokiona ndio hicho.

Kuna nyakati Maisha yamenifundisha kumwelewa kwanza MTU maana Nilishawahi kumuhukumu Mtu wangu mmoja WA karibu sana ana Roho Mbaya ila siku niliyokuja kuona upande wake WA pili...nikajua Mwanadamu NI kiumbe kompleksi Sana kumwelea hasa ukiwa ndani ya Boksi

Nikabaki kusema kimoyo Moyo kuwa nimekosa Mimi nimekosa Sana......
We utakuwa mweupe
Mbona maneno mengi
Njoo huku
 
Mtoa mada apuuzwe ana roho mbaya
Mtoa mada mweusi kama mkaa
 
Hapo ni kukabiliana na Kila hali
Kama MAJALIWA!
Yupi?
 
Back
Top Bottom