Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,689
- 64,709
Nongwa hii
Nongwa hii
Acheni kuwapangia watu maisha..kama hana interest na kuoa haina haja ya kumlazimishaNina ndugu yangu wa kiume mweupee ana miaka 38 sasa hajawahi oa, hana mtoto, hata mchumba hana. Ana kazi ya kuwadharau sana wanawake hasa weusi. Kila.mwanamke.anamuona mbaya hasa baada ya kulala nae. December kwenye kikao cha familia aliulizwa kama angalau ana mtoto familia imjue hata likitokea lolote imuhudumie jamaa akasema hana mtoto yeyote. Tulimpa jukumu la kutuletea mke December hii lakini mpaka hapa ninavyojua hatafanikiwa😀
huyu mama. ni mkongwe may be 40+ psychologically ana mfadhaiko,wasiwasi au maumivu ya kihisia probably kwa sababu ya namna alivyo.Nongwa hii
Yawezekana ni kazi moja mbovu mnoo...sasa inaoona hadi wanaume wamependeza anapandwa na kihoro..mwsho wa siku anakuja kutapika huku jukwaanwewe tangu 2014 ni wanaume weupe wanaume weupe psychologically inawezekana unaumia kwa namna ulivyo.
yani unajilinda dhidi ya mfadhaiko wasiwasi au hali mgumu kihisia .
psychologically una kitu kina itwa denial yani unajikataa au unakataa ukweli wa jambo ili kuepuka maumivu ya kihisia .
Hao ni wanawake wenzenu isipokua jinsia!!Eh, mniache
Nimalizane na Birthday yangu
Me.maswali mengine sina majibu
Kuna mrembo ameulizq hapa
Ivi kwanini wanaume weupe wana roho mbaya sana, hawana upendo kwa watu wengine they are very selfish
Kwenye mechi wabovu
Kwenye ndoa wana roho mbaya sana kwanini lakini?
Hili swali niliulizwaga zamani sana miaka ya 70 na jirani yangu, mwisho wa siku aliolewa na mwanaume mweusi, tangu alipoolewa yule mwanaume mweupe hajawahi kuoa mpaka wa leo mwaka 2025 na hana mtoto
Haya weupe na weusi muungane hapa mje mjibu swali la mrembo
Heri yako wewe!Ngoja nicheke mie 😹😹😹 m nipeni awo weupe tumalizane vzr Kila mtu alete dharau 😹💔
Mbona wanawake weupe mnajiuza rejareja na wala hatusemi?Naamini kwa asilimia zote wewe ni mweupe
Embu sema.ukweli
Kwanini una roho mbaya?
Mmeo kazi anayo!Eh, mniache
Nimalizane na Birthday yangu
Me.maswali mengine sina majibu
Kuna mrembo ameulizq hapa
Ivi kwanini wanaume weupe wana roho mbaya sana, hawana upendo kwa watu wengine they are very selfish
Kwenye mechi wabovu
Kwenye ndoa wana roho mbaya sana kwanini lakini?
Hili swali niliulizwaga zamani sana miaka ya 70 na jirani yangu, mwisho wa siku aliolewa na mwanaume mweusi, tangu alipoolewa yule mwanaume mweupe hajawahi kuoa mpaka wa leo mwaka 2025 na hana mtoto
Haya weupe na weusi muungane hapa mje mjibu swali la mrembo
huyu ni tangu 2014 mzee post zake ni wanaume weupe wanaume weupeSiku ya leo naona mmewaamulia wanaume weupe.
Mara roho mbaya mara hawapendwi wanachukiwa mara wanajiskia au n wivu pia ipo ndani yake
😀😀😀😀 Ukiona hivyo ujue ana tatizo yeye anapenda wanaume weupe afu anaishia kupigwa chinihuyu ni tangu 2014 mzee post zake ni wanaume weupe wanaume weupe
Wivuuu tu..Eh, mniache
Nimalizane na Birthday yangu
Me.maswali mengine sina majibu
Kuna mrembo ameulizq hapa
Ivi kwanini wanaume weupe wana roho mbaya sana, hawana upendo kwa watu wengine they are very selfish
Kwenye mechi wabovu
Kwenye ndoa wana roho mbaya sana kwanini lakini?
Hili swali niliulizwaga zamani sana miaka ya 70 na jirani yangu, mwisho wa siku aliolewa na mwanaume mweusi, tangu alipoolewa yule mwanaume mweupe hajawahi kuoa mpaka wa leo mwaka 2025 na hana mtoto
Haya weupe na weusi muungane hapa mje mjibu swali la mrembo
We utakuwa mweupeRoho mbaya hiyo inatafsiriwa kwa kigezo na sifa zp?
Au n HELA inatakiwa kutoka kwa maandishi
Endelea kuamini kama unachokiona ndio hicho.
Kuna nyakati Maisha yamenifundisha kumwelewa kwanza MTU maana Nilishawahi kumuhukumu Mtu wangu mmoja WA karibu sana ana Roho Mbaya ila siku niliyokuja kuona upande wake WA pili...nikajua Mwanadamu NI kiumbe kompleksi Sana kumwelea hasa ukiwa ndani ya Boksi
Nikabaki kusema kimoyo Moyo kuwa nimekosa Mimi nimekosa Sana......
Mtoa mada mweusi kama mkaaMtoa mada apuuzwe ana roho mbaya
Hapo ni kukabiliana na Kila hali
Yupi?Kama MAJALIWA!