- Thread starter
- #81
Wewe utanishinda mapema mkuu, maana kilichokuvuta kipo clear ,ingawa wengne wanapenda tu kuwa na mwanaume mwenye kwa sababu ya security tu, ila hakuna kuchunana, je we upo kundi gani? Wa kuzitafuna au kwa ajili ya security?Fursa hii.....