Nakubaliana na wewe kabisa kama mwanamke kakupenda ndio basi tena haina haja ya pesa wala chochote..Ulikua Aupo Hendisamu Na Auna Pesa Wanakuona Sio " Dili" Sasa Walau Unacho Kimoja "Pesa" Atleast Wanaona Kuna " unafuu" Kubal Yaishe. Waliona Kwako Dhiki Tupuu!!! Hivi Dunian Kuna Anaependa Dhiki? Labda Kwa Kuvumilia Ukijua Ukomo Waja!!! Ila Mwanamke Akikupenda Kakupenda!!!
Suala sio kutumia, je unatumia na nani??
Hata watt wa tandale wangemkataaaDiamond asingekua na hela, mwanamke gani angemtaka?!