Hivi kwanini wadada wengi wanaganda baada ya pesa kuwepo?

Hivi kwanini wadada wengi wanaganda baada ya pesa kuwepo?

Umenikumbusha mwaka jana mwezi wa 9 nilitongoza na 10 nikatongoza mwingine wakaniwekea ngumu kwa kuwa mambo yangu hayakuwa vizur sasa juzi hapa napokea simu tena zimepishana siku moja wote wakiniambia ombi lako limekubaliwa sasa mm nimebaki nashangaa tu hawa watu mawasiliano nilipotezana nao, wameona mambo yangu yapo poa wanaanza usumbufu wa simu zisizoisha. Na Mimi ni kufumba macho na kuendelea na maisha yangu ya kutafuta zaidi
 
Umenikumbusha mwaka jana mwezi wa 9 nilitongoza na 10 nikatongoza mwingine wakaniwekea ngumu kwa kuwa mambo yangu hayakuwa vizur sasa juzi hapa napokea simu tena zimepishana siku moja wote wakiniambia ombi lako limekubaliwa sasa mm nimebaki nashangaa tu hawa watu mawasiliano nilipotezana nao, wameona mambo yangu yapo poa wanaanza usumbufu wa simu zisizoisha. Na Mimi ni kufumba macho na kuendelea na maisha yangu ya kutafuta zaidi
Roho inauma sana kurudi kwa mtu aliyekubania kisa ukapuku , sijui huwa hawajui maisha yanabadikika
 
Acha mawazo ya kimaskini, tafuta hela zaidi. .

Ukiwaburuza, ukishakojoa tu hamna kipya tena
 
Ulikua Aupo Hendisamu Na Auna Pesa Wanakuona Sio " Dili" Sasa Walau Unacho Kimoja "Pesa" Atleast Wanaona Kuna " unafuu" Kubal Yaishe. Waliona Kwako Dhiki Tupuu!!! Hivi Dunian Kuna Anaependa Dhiki? Labda Kwa Kuvumilia Ukijua Ukomo Waja!!! Ila Mwanamke Akikupenda Kakupenda!!!
Enzi zile ulitoka na kamwambie walisema una domo,hivi leo handsome,by nay mapenzi pesa
 
Mkuu nipm nikuelekeze bar yenye watoto wakaliiiiiii
 
Hakuna shida kwan wewe huwa unakumbukaga mateso yote ya nyuma? Acha hzo bhana wapende looooh
Suala la kukumbuka mateso yote niliyopitia kwangu ni kawaida sana, kwni ndiyo yaliyonifikisha hapa
 
Suala la kukumbuka mateso yote niliyopitia kwangu ni kawaida sana, kwni ndiyo yaliyonifikisha hapa
Na nilitaka jibu hilo ili ukumbuke ulivyowapenda na uwapende tu hata leo hakuna namna
 
Nia yako ilikua ni hii,,, wala hukuhitaji uahauri bt ulikuwa unatoa taharifa....
Nimeamua kuacha nia ovu sasa najianda kufanya mambo mengne kwani hawa watu hawakomoleki, ukijifanya kuwakomoa utaumia wewe
 
Back
Top Bottom