Hivi kwanini wadada wengi wanaganda baada ya pesa kuwepo?

Hivi kwanini wadada wengi wanaganda baada ya pesa kuwepo?

Mimi nakushauri ufikirie jinsi ya kuwa mjasiliamali tu mkuu,ukiplan kuwakomoa utaishia kulia ww. Magonjwa mengi siku hizi.
Magonjwa na umasikini juu, ngoja nibaki na eliza wangu anatosha.
 
Na nilitaka jibu hilo ili ukumbuke ulivyowapenda na uwapende tu hata leo hakuna namna
Hahahahah acha utani kabisa, kuwapenda tena siwezi labda niweke saini yangu halafu niondoke kimya kimya
 
Nakumbuka enzi nipo kijana mdogo nilikuwa napenda sana kuwa na wasichana wa jirani, shuleni, kanisani nk, ila wengi walikuwa wananitolea nje ila kwa sasa baada ya wao kuona mambo yangu yapo safi wanaanza kujitongozesha kwangu,wengine wanauliza mbona siku hizi upo kimya sana?

Mara mpaka nikupigie mimi tu we unipigii? Wengine wanasema tutafutane bwana, wengine wanataka hadi kunitembelea nilipo, na mimi kwa upande wangu kama huwa nina msimamo mkali dhidi ya watu wote walionikataa kipindi nina hali ngumu, huwa sitaki kuwaona kwenye ufalme wangu.

Na wengi wao wanatamani eti niwaoe sasa hivi, hivi huwa mnashikwa na nini kipindi tunawatongoza? Je hao mapedeshee walikuwa wanatafuna mzigo wakati unawaringia vijana wenzako huwa wanaishia wapi?

Nimejitafakari sijui nilipize kisasi kwa kuwaburuza halafu niwatupilie mbali? Au nyie huwa mnafanyaje kwenye hali kama hii?

Kuna mmoja ambaye nilikuwa najiachia kwake akaja kunimwaga baada ya kupata kajamaa kanampa pesa kwa sasa hivi eti anadai pensheni kwa kunifadhili papuchi ya bure enzi nikiwa kapuku na bwana wake mwenye pesa alikuwa amejiegesha tu kashamwaga sasa anataka kurudisha majeshi, hivi hii pesa ina sumaku?
cjawah sikia kama kuna mtu anachukia pesa
 
Hahahahah acha utani kabisa, kuwapenda tena siwezi labda niweke saini yangu halafu niondoke kimya kimya
Haaah usithubutu nakwambie ka ni hivyo achana nao kimyakimya kwan hawa viumbe ni hatar mkuu
 
Hatari yao ni nini mkuu, mbona wanitisha??
Ni hv, omba Mungu ukute hawana nyongeza ya cel mpya kwenye damu zao maana utabaki ukifikir umetumbua majipu kumbe umetumbuliwa wewe. Loooih sikufahamu but naomba uchukue tahadhari.
 
Ni hv, omba Mungu ukute hawana nyongeza ya cel mpya kwenye damu zao maana utabaki ukifikir umetumbua majipu kumbe umetumbuliwa wewe. Loooih sikufahamu but naomba uchukue tahadhari.
Kwakweli ngoja niache nia ovu maana wanaweza nipa umasikini na magonjwa ya ajabu ajabu, nijute milele
 
Kwakweli ngoja niache nia ovu maana wanaweza nipa umasikini na magonjwa ya ajabu ajabu, nijute milele
Nimeanza kukupenda bure. Watu wangekuwa wana think positive like you mbona tubgeshakuwa na barabara za angani?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
kama kuna aliyekupenda kipindi cha dhiki na aliyekuwa anakukumbuka wengine piga chini
 
Back
Top Bottom