- Thread starter
- #61
Karibu mkuu.Nimeanza kukupenda bure. Watu wangekuwa wana think positive like you mbona tubgeshakuwa na barabara za angani?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Karibu mkuu.Nimeanza kukupenda bure. Watu wangekuwa wana think positive like you mbona tubgeshakuwa na barabara za angani?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nilikuwa nimepanga kutia saini na kuwaachia maumivi nikagundua nyota ya umasikini na magonjwa itaninyemelea , nimeamua kuwasamehe aiseeSasa hata ukisema ulipize kisasi unamkomoa nani kwa mfano?
Mwisho wa siku wao hawana cha kupoteza maana wengi wao wamekataa tamaa ya maisha na wanaishi kwa dili dili za mjini, ila mimi itanigharimu na nyota ya ukimwi + vimagonjwa uchwara,Mkuu watafune tu
Hahahhaa Evelyn nawe ni mmojawapo nini?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Naomba namba yako asee
Kuwa mbahili tu ndo solution yao mwenyewe na wao mtafurahiana
Jambo jemaNilikuwa nimepanga kutia saini na kuwaachia maumivi nikagundua nyota ya umasikini na magonjwa itaninyemelea , nimeamua kuwasamehe aisee
Ya nini mkuu??? Au ndo unakamata fursa??Naomba namba yako asee
Sio kwa stahili hiyo, yaani umlete mwenzako mauzauza kipindi yupo kwenye kupambana halafu anafanikiwa ndo unamtamani??hata wewe ukiona pesa from nowhere utaganda
usiwalaumu wanawake, huwezi kumpenda mtu ambaye hana muelekeo wowote? May be zamani mko kidato mnasoma, unamfata girls na akikuangalia mtoro shuleni, marks zenyewe unapata namba za viatu, sasa unafkiri atakupenda na anajua huna muelekeo? Baadae akili yako inakaa sawa ndio inastahiki akufateSio kwa stahili hiyo, yaani umlete mwenzako mauzauza kipindi yupo kwenye kupambana halafu anafanikiwa ndo unamtamani??
Suala sio kutumia, je unatumia na nani??Acha ubahili tumia pesa.ikuzoe
Kwa nn mtu kama huyo asikushauri ili uwe wa kufanana naye??? Yaani upambane npaka utoboe ndo wanapanga foleni eti wana mapenzi khaaausiwalaumu wanawake, huwezi kumpenda mtu ambaye hana muelekeo wowote? May be zamani mko kidato mnasoma, unamfata girls na akikuangalia mtoro shuleni, marks zenyewe unapata namba za viatu, sasa unafkiri atakupenda na anajua huna muelekeo? Baadae akili yako inakaa sawa ndio inastahiki akufate
Fursa hii.....Ya nini mkuu??? Au ndo unakamata fursa??