Bila shaka unalawitiwa na kulawitikaPia wanalawiti kwa unyenyekevu na upole?!..... Kule vatican scandal za mapadri kulawiti ni nyingi sana!!
Bila shaka unalawitiwa na kulawitikaPia wanalawiti kwa unyenyekevu na upole?!..... Kule vatican scandal za mapadri kulawiti ni nyingi sana!!
Mtatafuta all possible reasons za kuhalalisha an ovious satanic intentional immitation for the purpose of exposing the unsuspecting congregation to demonic attacks!A Roman Catholic Mass has so many satanic rituals and a genuine believer in the God of Jacob will admit that,it"s so obvious.Ni mafunzo kamili wapatayo.Nidhamu,utii,heshima,uchaji wa Mungu na upole viwe mstarini.Ni mfumo waliojiwekea.
SWALI LA KIZUSHI:
Mbona wachungaji wa madhehebu mengine huhubiri kwa sauti zinazofanana na kukwaruzakwaruza na hutumia nguvu na leso mikononi?
Uhakika ndio huo...Asante hopu nitapata Padre wakutoa uhakika zaidi
Mimi sio mkotoliki ila nikiwa na mda naendaga kusikiliza hiyo sauti/tune yao inanifurahisha sana naona kama Usani fulani baba mzima kuabadilisha sauti kutimiza lengo la ibada.Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Mkuu mnajua,tunachojaribu kufanya ni kuwafanya muone kwamba mnapotezwa,na kama kweli mna nia ya kwenda mbinguni,mnapaswa kutoka huko,mnadanganywa.Wenzenu wana nia ovu kabisa ya kuwapeleka jehanamu.Hebu angalia clip ifuatayo,labda itakusaidia kuuona ukweli.Hatuna nia mbaya kabisa mkuu,nia yetu ni njema 100%!basi sisi wakatoliki wote tunasali sala za mashetani na lazima tuchomwe moto. Shangilieni nyinyi watakatifuuuu.
Hata waimba bongofleva,wengi sauti zinafanana,ukimsikiliza,Diamond,Harmonize,Neddy ,unaweza usijue yupi ni yupi,kitu cha kawaida tu,Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Kwa sababu mvinyo wanaotumia ni wa aina moja pia,sometimes wakizidisha unaqeza shtukia tofauti hasa kwenye ibada za misiba huwa wanazidshaBwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Haya ndio matatizo ya mshahara wa mwezi mmoja kutokutana na ule wa mwezi unaofuatia. Hasira zinakuja kumaliziwa jamii forum.
We jamaa akili zako unazijuaga mwenywe tu,baada ya kushikwa juu ukaj kwa swali lingineHivi mkuu hiyo ID yako siyo tusi? Mbona upo hapa kwenye issue za dini?!
We jamaa akili zako unazijuaga mwenywe tu,baada ya kushikwa juu ukaj kwa swali lingine
Mmeshindwa kwenye sanamu na mengineyo mmehamia kwenye sauti!Pambaneni na yenu.Mtatafuta all possible reasons za kuhalalisha an ovious satanic intentional immitation for the purpose of exposing the unsuspecting congregation to demonic attacks!A Roman Catholic Mass has so many satanic rituals and a genuine believer in the God of Jacob will admit that,it"s so obvious.
Kinachotakiwa ni wewe kuelewa ninachosema.Kama naona naweza kujieleza vizuri zaidi kwa Kingereza maeneo mengine, nitafanya hivyo,mbona hakuna sheria inayonizuia?Mmeshindwa kwenye sanamu na mengineyo mmehamia kwenye sauti!Pambaneni na yenu.
HALAFU:
Siku ingine chagua lugha moja ya kutumia ueleweke.Usiungeunge lugha mseto.
Mkuu mnajua,tunachojaribu kufanya ni kuwafanya muone kwamba mnapotezwa,na kama kweli mna nia ya kwenda mbinguni,mnapaswa kutoka huko,mnadanganywa.Wenzenu wana nia ovu kabisa ya kuwapeleka jehanamu.Hebu angalia clip ifuatayo,labda itakusaidia kuuona ukweli.Hatuna nia mbaya kabisa mkuu,nia yetu ni njema 100%!
Sawa mkuu,damu yako sidaiwi,nimefanya kama Mungu alivyoniagiza.Haya, Mimi nimechagua moto acha niendelee kuwa mkatoliki.
Umeninyanyasa mimi ambaye sijui kiingereza.Nitake radhi mkuu.Kinachotakiwa ni wewe kuelewa ninachosema.Kama naona naweza kujieleza vizuri zaidi kwa Kingereza maeneo mengine, nitafanya hivyo,mbona hakuna sheria inayonizuia?