Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,859
- 20,714
Unataka credible sources zipi,sema nikuletee.Huna uhakikia na kile unakijua, Jesuit hawako kama vil e unavyojua, Kama ni msaomaji kaendelee kusoma kabla hujaja hapa, NB kasome kutoka kwenye literature zenye credible source na sio kutulea clip ushwara za wapinga Kristo wa kisabato na masalia