Mbwembwe zao tu ili kutushawishi tutoe sadaka za noti noti,,
Hivi mkuu hiyo ID yako siyo tusi? Mbona upo hapa kwenye issue za dini?!Anzisha uzi wa hizo scandal...Hapo inazungumziwa sauti zao wakati ya ibada.
Asili yake ni melodi za mtakatifu Gregory kupitia muziki wa GREGORIANT CHANT,NI MELODI ZA KANISA KATOLIKI SINCE MEDIEVER PERIOD. POPOTE DUNIANIBwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
KWA SABABU NI MAPADRIBwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
basi sisi wakatoliki wote tunasali sala za mashetani na lazima tuchomwe moto. Shangilieni nyinyi watakatifuuuu.Ni swali zuri sana,ila naona kama limekaa kimtego mtego hivi.Unajua,Shetani ni mjanja sana.Yeye huwa akitaka kukushambulia anatengeneza kaufa tu,wala hahitaji mlango, ili kuweza kukushambulia.Shetani ukishaiga kitu chake tu,anajua you are weak spiritually,he attacks you!Haka ni kaufa!Nyufa hizi huwa zina tu cost sana.Ibada za underground societies zinatumia sauti za hivyo,na kwa Waroma si ajabu sana,maana Ujesuit ndio msingi wa Kanisa la Roma.Kumbuka kwamba Pope Francis ni Mjesuit.Sikiliza hizi ibada mbili za Kishetani,jibu utalipata!
Kwann mnachonga vinyago na kuvisujudia?Najivunia kuzaliwa na kukua nikiwa Mkatoliki, kanisa LA mitume.. Nakula kwaya hapa taraatiiibu huku nasoma watu wanavyotoka povu humu.
Haya ndio matatizo ya mshahara wa mwezi mmoja kutokutana na ule wa mwezi unaofuatia. Hasira zinakuja kumaliziwa jamii forum.Anzisha uzi wa hizo scandal...Hapo inazungumziwa sauti zao wakati ya ibada.
HAPA NAPO SIASA IKO WAPI? Hamisheni post hii iwe sehemu husika.Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Ndo mafundisho yalivyo, upole na unyenyekevu kwenye kuwaza, kusema, kutenda na kutekeleza wajibu. TUMSIFU YESU KRISTU
Nimemaanisha sauti hata pale mwisho wa salaaaUnamanisha sauti au maneno? Au pia unamanisha tone na melodies za kusemea maneno hayo ya misa??
Mbwembwe zao tu ili kutushawishi tutoe sadaka za noti noti,,
Ni swali zuri sana,ila naona kama limekaa kimtego mtego hivi.Unajua,Shetani ni mjanja sana.Yeye huwa akitaka kukushambulia anatengeneza kaufa tu,wala hahitaji mlango, ili kuweza kukushambulia.Shetani ukishaiga kitu chake tu,anajua you are weak spiritually,he attacks you!Haka ni kaufa!Nyufa hizi huwa zina tu cost sana.Ibada za underground societies zinatumia sauti za hivyo,na kwa Waroma si ajabu sana,maana Ujesuit ndio msingi wa Kanisa la Roma.Kumbuka kwamba Pope Francis ni Mjesuit.Sikiliza hizi ibada mbili za Kishetani,jibu utalipata!
Sio sauti tuu hata miandiko ya wanaosoma seminary hufanana!!!Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sasauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake?View attachment 897499
Any way tuwaache Hawa wenzetu waonao ni watakatifu mbele za Mungubasi sisi wakatoliki wote tunasali sala za mashetani na lazima tuchomwe moto. Shangilieni nyinyi watakatifuuuu.