usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 251
- 500
Bwana awee nanyiiiiiiiii
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake? View attachment VID_20181014_071523.mp4
Awe piaaaaa naweeeee
Inueni mioyoooooo..
Mikoa zaidi ya sita nimeishi lakini sauti za mapadre wetu zina fanana je....na.muasisi wa hii sauti...na nini umuhimu wake? View attachment VID_20181014_071523.mp4