Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

Status
Not open for further replies.
Katika vitu vinavyokata swalat ni mbwa mweusi au mwanamke akipita mbele za mwanaume anayeswali. Je huku ndiko kumthamini?

hivi wewe huelewi harrrrrrah munaambiwa someni sio unajiongelea hata mwanaume akipita mbele ya mwanaume au mwanamke na sio kwamba anakata swala ila kuna kitu kunaitwa makuruh swala ipo palepale
 
Makubwa, hadithi za Muhammad na maneno ya allah leo yamegeuka matusi?
na zinautukana uislam?
Hasante kwa kutujuza.

Unadhani unaweza kumfunza kondoo akaelewa? Wewe ni kondoo bora Ungekuwa mbuzi labda tungejaribu japo kukupa elimu
 
hivi wewe huelewi harrrrrrah munaambiwa someni sio unajiongelea hata mwanaume akipita mbele ya mwanaume au mwanamke na sio kwamba anakata swala ila kuna kitu kunaitwa makuruh swala ipo palepale

BALAA: KUMBE WANAUME WA KIISLAM WAMERUHUSIWA KUINGILIANA KIMWILI



Surah An Nisaai 21. Na mtachukuaje na ilhali mmekwisha ingiliana nyinyi kwa nyinyi, na wao wanawake wamechukua kwenu ahadi iliyo madhubuti?



HUU SI NDIO ULIBERIA HUUU
 
Mwenyezimungu kutuamrisha uliyo yaandika yapo na yanatokea ktk dunia hii. Mfano ni Sadam Husein alijifanya ni rafiki wa USA na Mataifa ya ulaya na alipewa kila aina ya ushirikiano wakatianataka kuingia Ikulu ya Baghdad na akafanikiwa kuwa Rais wa Iraq na haikutosha alipewa kila aina ya misaada na USA na Mataifa ya Ulaya wakati wa vita ya miaka 8 na Iran vita ilio kosa mshindi.Lakini siku ya siku aya hiyo ulio inukuu ikatimia ikachukuwa nafasi yake.Sadam na Utawala wake ukageukwa na hao Mwenyezimungu alio tutahadharisha nao alio wataja ktk hiyo aya.Hivyo hivyo kwa Rais Gadafi amekuwa tofauti na hao alio katazwa na allah kuwarafiki kwa muda wa miaka mingi ya utawala wake wa Libya lakini muda mchache tu alio kwenda kinyume na aya na makatazo ya allah akawa rafiki na mshirika wa USA na Matifa ya ulaya Mpaka Ikafikia hatua ya wazungu kumuachia muuwaji na mtekaji Mlibya mfungwa.ndio hapo aya ikatimia na makatazo ya allah alipo yadharau na umaiti ukamkuta.M/zimungu anawajua tabia za kila kiumbe alicho kiumba.Leo nchi hii imefikia hapa tulipo kwa kuwa watumishi wengi wa serekali na mashirika yake ya umma ni hao tulio tahadharishwa na hiyo aya hawana imani wala uzalendo wa nchi.

Je? Shetani kulala katika pua zenu ndio kushinda?

Kulalamika ndio kushinda?
Maana walioshinda huwa si walalamikaji,
Kila siku mnalalamika mfumo kristo,

Kila siku mnadai upendeleo,
Huko ndio kushinda?

a.Kwa kulalamika kweli uislam umeshinda

b.Kwa shetani kulala kwenye pua zenu kweli mmeshinda

c.Na kwa kuwa na chuki uislam umeshinda,
5:51. Enyi mlio amini! Si halali kwenu kuwachukua Mayahudi na Wakristo mkawafanya ndio marafiki zenu. Wao hao ni sawa sawa katika kukufanyieni uadui. Na mwenye kufanya urafiki nao, basi ni kundi moja nao. Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi wanao jidhulumu nafsi zao kwa kufanya urafiki na makafiri.
5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu

Hii ni chuki au ni upendo ?
Je unaweza kunionyesha USA kwenye aya hii?

Quran 5:51 Haiwalengi USA INAWALENGA WAKRISTO NA WAYAUDI,

Je USA HAKUNA WAISLAM?

NA USA AIONGOZWI NA INJILI WALA TORATI,

Na katika vita hivyo ulivyokumbushia hata waislam waliusika kumpiga ghadafi na sadam

Na hivyo vita vilikuwa ni vya kisiasa na si vya kidini,
maana VINGEKUWA NI VYA KIDINI WANGEANZA KWANZA NA WAISLAM WALIOPO USA
ndipo waende libya na iraq

Na huo urafiki wa Sadam na ghadafi na USA ulikuwa wa kisiasa si kidini

Lakini chuki zinazopandikizwa na allah ni za kidini si za kisiasa

NA UMEKWEPA SWALI hii ni chuki au ni upendo?

KWA MAANA HIYO HOJA YAKO HAIINGI HAPA.
 
Katika moyo wangu hakuna kitu kinachoniuma kama mtu kuutukana Uislam.yaani anautuka uislam halafu hana hata hoja anabaki kuleta aya halafu hajui hata maana yake.wewe schiendler izo aya unazozileta hapa unajua maana yake sahihi.Mwanamke katika Islam haruhisiwi kulifuata Jeneza ni kweli hapo Allah ametumia hikma ndani yake lakini sio kwa sababu mwanamke ni mbaya kuliko maiti.haya maneno umepata wapi?

Kaka hyu jamaa mm ananikera sna na hadithi zke feki namwambia aje live kwa debit anaishia copy paste hpa ... nafatilia details zke nitampta alipo soon nita catc his MAC ADDRESS yke kisha tunamzukia alipo
 

ALLAH ANASEMA KUWA: WANAWAKE WOTE NI MASHETANI NA WACHAFU KAMA SEHEMU ZA SIRI!!!

Wanawake ni mashetani; wao ni kama uchafu wa sehemu za siri.
Sahih Muslim - 8.3240, 3242; Ghazali - gombo la 2, p. 26, gombo la 2, p. 43

HAKIKA CHUKI HII YA ALLAH KWA WANAWAKE WA KIISLAM IMEZIDI!!!
WANAWAKE KWANINI MNAFUTA HUYU KIUMBE ALLAH ANAYE WATUKANA KILA SIKU?
MKUU
Naona wameanza kuzikana hadithi za muhammad na maneno ya allah.
 
Kaka hyu jamaa mm ananikera sna na hadithi zke feki namwambia aje live kwa debit anaishia copy paste hpa ... nafatilia details zke nitampta alipo soon nita catc his MAC ADDRESS yke kisha tunamzukia alipo
Naona! asante kumbe hadithi za muhammad na maneno ya allah ni feki!. waambie!. mwenye sikio na asikie.
 
Kaka hyu jamaa mm ananikera sna na hadithi zke feki namwambia aje live kwa debit anaishia copy paste hpa ... nafatilia details zke nitampta alipo soon nita catc his MAC ADDRESS yke kisha tunamzukia alipo

BALAA: KUMBE WANAUME WA KIISLAM WAMERUHUSIWA KUINGILIANA KIMWILI


Surah An Nisaai 21. Na mtachukuaje na ilhali mmekwisha ingiliana nyinyi kwa nyinyi, na wao wanawake wamechukua kwenu ahadi iliyo madhubuti?


HUU SI NDIO ULIBERIA HUUU
 
SHETANI ASILIMU NA KUWA MUISLAM
Shet'ani kwa mara ya kwanza ameapa kiapo cha utii kutoka Abu Bakr katika msikiti na Shet'ani alisilimu na kumfuata Allah. (Israr-e-Muhammad, Page No 30)
KUMBE SHETANI NI MUISLAMU. HUU NI MSIBA KWA WAISLAM
 
WAISLAM WANALIA KWA UCHUNGU NA KUMUOMBA ALLAH AWAOKOE KUTOKA JEHANNAM....

JE, ALLAH ANAUBAVU WA KUINGIA JEHANNAM NA KUWAOKOA WAISLAMU?
UKIMPOKEA YESU, HUTO INGIA JEHANNAM ILIYO TENGENEZWA KWA AJILI YA SHETANI, BALI UTAKUWA NA UZIMA WA MILELE........
KUMBE WAISLAMU WOOTE WATAINGIA JEHANNAM
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Mungu wa Waislam ajulikanaye kwa Jina la Allah amesema kiuwazi kabisa kuwa "wale wote ambao wanajivunia Uislam na kumuabudu Allah wataingia Motoni"
Lakini Yesu anasema haya:
Yohana 14: 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Ndugu zanguni, mwamini Yesu ili uwe na uzima wa milele. Yesu anakupenda. Yesu Ndie Njia Pekee. Yesu Ndie Uzima. Dini haita kupeleka kwa Baba aliye Mbingu, lakini Yesu anasema Yeye NDIE NJIA.




 
Mpaka utatumia simu au laptop nina hakika shule umesoma angalau kidogo.Kinacho shanagaza ni wasomi wa dini yetu ""matusi hayakosekan katika maandiko yenu".Kwamba ni sehemu ya iman?kwamba ninyi elimu ipo vipi kwa wale ambao hawana?kwamba elimu yako haikusaidii?Je hapo waweza niambia kitabu chenu kimeshushwa toka juu nikakuelewa?zaidi ya kuelewa kwamba mtunzi ndio mwenye matatizo? DIN/IMANI NI MATENDO,MANENO YA MTU.UKITENDA/KUNENA KISHETAN HALAFU UKAJIONA UMTAKATIFU!!BASI MIMI NI ZAIDI YA MTUNZI
 
Leta ushahidi hadith gani nmeikataa?


ALLAH HANA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA!!

Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?

Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Gibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..

MAJIBU YA MUHAMMAD HAYA HAPA
Bukhari's Hadith 5.713:
Imesemwa na 'Aisha:
Mtume Muhammad wakati alipo kuwa anaumwa na kuchukuliwa na kifo alikuwa akisema, O Aisha, bado nasikia maumivu makali sana kutokana na chakula nilicho kula kilicho kuwa na Sumu kule Khaibar, na wakati huu nasikia kama nyongo yangu inakatwa kutokana na ile Sumu niliyo kula.

Hivi Mungu anaweza kuomba na ashindwe? Mbona Allah na Jibril maombi yao ya uponyaji kwa Muhammad hayakufanya kazi?

Hakika Allah si Mungu.

HUU NI MSIBA MKUBWA SANA. ALLAH NA YEYE AMEFIWA NA MTUME WAKE.
 
Nataka nikuulize swali unapata faida gani ukibadisha maana ya aya?hio aya na maelezo yako tofauti soma uelewe sio kwa ushabiki.

HAKIKA MUHAMMAD ALIKUWA NABII WA UONGO



Muhammad(SAW) alikiri kuwa yeye hakuwa na uwezo wa kufanya Miujuza
Ndugu zanguni, leo ningependa tusome kidogo kuhusu huyu Muhammad aliye dai kuwa yeye katumwa na Mungu. Hebu soma kwanza:

17. SURA AL ISRAAI (BANI ISRAIL)


90. Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii.
91. Au uwe na kitalu cha mitende na mizabibu, na utupitishie mito kati yake ikimiminika.
92. Au utuangushie mbingu vipande vipande kama ulivyo dai; au utuletee Mwenyezi Mungu na Malaika uso kwa uso.
93. Au uwe na nyumba ya dhahabu, au upae mbinguni. Wala hatutaamini kupaa kwako mpaka ututeremshie kitabu tukisome. Sema: Subhana Rabbi, Ametakasika Mola wangu Mlezi! Kwani mimi ni nani isipo kuwa ni mwanaadamu na Mtume?
(Qur-Sura 17:90-93)



Baada ya kuombwa afanye angalau muujiza mmoja tu, Muhammad alishindwa vibaya sana na kuto fanya hata muujiza mmoja.


Swali:
1. Kwanini Muhammad alishindwa kufanya miujiza kama alivyo ombwa afanye?
2. Muhammad ni Nabii peke yake alieshindwa kufanya Miujiza tokea dunia iumbwe, Je, anaa kufuatwa na kuaminiwa?
3. Kwanini Allah nay eye hakumsaidia Nabii wake kufanya muujiza?


HAKIKA MUHAMMAD ALIKUWA NABII WA UONGO
 
Akili za humu jf ukiwataja Waarabu watu wanajua ndo uislam this is totaly wrong.

Acha kumtetea huyo muhuni aliyeleta hojja,kama issue ni waarabu na sio waislam mbona katoa mfano wa Pakistan?Pakistan kuna mwarabu gani au ana bwana wa kiarabu anayeishi pakistan?

Huyu ni mpumbav.u anayeendeshwa na chuki ya kidini.Kama yeye anaamini dini yake basi na aendelee kuiamini kuliko kuanza matussi ya kishenz.i kwa imani za watu,Kerbu!!
 
Mwenyezimungu kutuamrisha uliyo yaandika yapo na yanatokea ktk dunia hii. Mfano ni Sadam Husein alijifanya ni rafiki wa USA na Mataifa ya ulaya na alipewa kila aina ya ushirikiano wakatianataka kuingia Ikulu ya Baghdad na akafanikiwa kuwa Rais wa Iraq na haikutosha alipewa kila aina ya misaada na USA na Mataifa ya Ulaya wakati wa vita ya miaka 8 na Iran vita ilio kosa mshindi.Lakini siku ya siku aya hiyo ulio inukuu ikatimia ikachukuwa nafasi yake.Sadam na Utawala wake ukageukwa na hao Mwenyezimungu alio tutahadharisha nao alio wataja ktk hiyo aya.Hivyo hivyo kwa Rais Gadafi amekuwa tofauti na hao alio katazwa na allah kuwarafiki kwa muda wa miaka mingi ya utawala wake wa Libya lakini muda mchache tu alio kwenda kinyume na aya na makatazo ya allah akawa rafiki na mshirika wa USA na Matifa ya ulaya Mpaka Ikafikia hatua ya wazungu kumuachia muuwaji na mtekaji Mlibya mfungwa.ndio hapo aya ikatimia na makatazo ya allah alipo yadharau na umaiti ukamkuta.M/zimungu anawajua tabia za kila kiumbe alicho kiumba.Leo nchi hii imefikia hapa tulipo kwa kuwa watumishi wengi wa serekali na mashirika yake ya umma ni hao tulio tahadharishwa na hiyo aya hawana imani wala uzalendo wa nchi.

vp saudia coz wamekuwa marafik wa marekan tangu miaka ya 1936 wao Mungu hajapenda kuwaadhbu?
 
Uislam ni unyama. Mtu akimdharau mama yake au mtu sawa na mama yake utamuitaje ?

Kama huna unalojuwa kuhusu imani ya watu wengine bora unyamaze.
FYI:Waarabu walikuwa wakiwaua kabisa watoto wa kike kabla ya ujio wa uislam. Uislam ulipokuja ukakataza KABISA kuwaua watoto wa kike. Je unyama ni uarabu au ni uislam?
Uislam umemthamini mwanamke na kumpa heshima yake kwa kutaka austiri mwili wake. Kabla ya uislam wanawake hawakuwa wakijistiri.je unataka wanawake wavae hovyo kama vimini, nguo za kubana kiasi cha kuyaona maungo yao na mavaz yao ya ndani kama pichu n.k ndio huo utakuwa sio unyama?
uislamu umemtukuza sana mwannamke na kumpa haki ya kumiliki mali binafsi yeye mwenyewe na pia kumpa haki ya kurithi mali za mumewe ikiwa mumewe atafariki. Je huo nao ni unyama?wakati katika jamii nyingi mwanamke hakuruhusiwa kurithi mali mpaka yakaletwa maazimio ya Human rights.
Uislam umempa mwanamke haki ya kufanya kazi ya halali ambayo haipingani na dini yake au kudhalilisha utu wake. mfano mzuri, mke wa mtume bi Khadija alikuwa mfanyabiashara mkubwa na nwenye mafanikio.
je huu nao ni unyama?
Uislamu umetaka mwanamke aheshimiwe na kwamba kama mwanamke hutamuheshimu mfano mama yako basi mtu atakuwa mashakani kuingia peponi. Mtume Muhammad (S.AW) anasema"pepo iko chini ya nyayo za kina mama" hii ni kutaka kutuambia kuwa ni lazima tuwaheshimu na kuwatendea wema kina mama ili kuipata pepo. Je huu ni unyama?
Tafadhali, usichanganye UISLAM na TAMADUNI za jamii nyingine iwe ni Waarabu, watanzania, wafaransa n.k na kama hujui kitu ni bora kuwa na busara kuuliza. Kuandika comment ya chuki au ya kudhalilisha dini nyingine HAIKUSAIDII CHOCHOTE wala HAIKUNUFAISHI
 
Hio aya hata umeitafsiri kishabik na si uhalisia wake.Hakika anasema muumba wenu mwenye kumiliki mambo yenu:Niombeni nami nikupeni! Hakika wale wanao takabari hata wakakataa kuniomba wataingia jahannamu nao ni Madhalili.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom