Je? Shetani kulala katika pua zenu ndio kushinda?
Kulalamika ndio kushinda?
Maana walioshinda huwa si walalamikaji,
Kila siku mnalalamika mfumo kristo,
Kila siku mnadai upendeleo,
Huko ndio kushinda?
a.Kwa kulalamika kweli uislam umeshinda
b.Kwa shetani kulala kwenye pua zenu kweli mmeshinda
c.Na kwa kuwa na chuki uislam umeshinda,
5:51. Enyi mlio amini! Si halali kwenu kuwachukua Mayahudi na Wakristo mkawafanya ndio marafiki zenu. Wao hao ni sawa sawa katika kukufanyieni uadui. Na mwenye kufanya urafiki nao, basi ni kundi moja nao. Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi wanao jidhulumu nafsi zao kwa kufanya urafiki na makafiri.
5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu
Hii ni chuki au ni upendo ?