Yaani we Jamaa unabadilisha maana ya aya hivi hivi na uko hapa kwa ushindani sio kwa kupata elimu huna busara.Hapa kuna watu wanaona ujinga wako lakini wanakukaushia 2.Hebu jaribu kuulainisha moyo kidogo angalu upate iman kidogo na hio chuki uipunguze kidogo.Naoan uko katika giza totoro na hutaki kuelimishwa wala kuelimika.Omba mungu akuonyeshe njia ya kheri upate kuifuata sio kubaki kushabikia kitu huna elmu nacho.
QUR'AN haitafsiriwi kama unavyoitafsiri wewe .Punguza chuki hakika hizo chuki zako zitakufanya ujione wewe uko sahihi na wengine wamepotea na hutaweza kuongoka........
Aliyeko hapa kwa ushindani ni wewe unayetoa maoni ambayo hayana ushahidi wa aya
Kama wewe ujapotea tuletee hiyo tafsiri iliyo sahii
Kama mimi nimebadilisha maana leta hiyo maana ambayo aijabadilishwa,
Kama mimi nina chuki allah na nyie ndio mlioniambukiza kwa mujibu wa quran 5:51
5:51. Enyi mlio amini! Si halali kwenu kuwachukua Mayahudi na Wakristo mkawafanya ndio marafiki zenu. Wao hao ni sawa sawa katika kukufanyieni uadui. Na mwenye kufanya urafiki nao, basi ni kundi moja nao. Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi wanao jidhulumu nafsi zao kwa kufanya urafiki na makafiri.
5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu
Hii ni chuki au ni upendo ?
Mungu alishanionyesha njia ya kheri na nipo katika njia sahii
Qurani inatafsiriwa kama ninavyotafsiri mimi mengine ni porojo.
Kumbe chuki zako ndio zinakufanya wewe ujione kuwa huko sahii?
Nilisha ongoka ndio maana
Shetani halali kwenye pua zangu!.