athurmorgan
Member
- Aug 21, 2013
- 50
- 6
Uislam ni unyama. Mtu akimdharau mama yake au mtu sawa na mama yake utamuitaje ?
Wewe ndio mnyama,,,,,hakuna dini inayompa daraja mwanamke kama uislam,,,,ila kwavile huna elimu nayo ndo mana unaropoka fanya uchunguz kwanza bfo hujaangea,,,,,hakuna dini inayomtaka mtu ampende amheshim na amjali mama yake kama uislam,,,,,,acha kubwabwaja ww,,,kama huna cha kuongea kaa kimya