Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

Status
Not open for further replies.
Wewe unajua hadithi? Unajua hadithi zote ni sahihi? Unajua maadui wa uislam wameanza leo? Unajua kuna hadithi ngapi ni za kuletwa tu na maadui wa uislam na mwisho kuandika (sahihi muslim) unalijua hilo?

Je? shetani kulala katika pua za waislam na kuchezea ma.ta.ko yao ni hadithi ya kweli au ya uongo? Ni hadithi sahii au si sahii?
au hii nayo imeandikwa na kuletwa na maadui wa uislam?
 
Nenda kamsimulie Allah hizo hadith. Kama Allah angekuwa Mungu basi Koran ingejitosheleza, sasa kwanini inausaidizi wa Hadith?

HAKIKA NYIE MMEPIGWA MUHIRI NYOYONI ZENU WA JEHANNAM

Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.

Mungu wa Waislam ajulikanaye kwa Jina la Allah amesema kiuwazi kabisa kuwa “wale wote ambao wanajivunia Uislam na kumuabudu Allah wataingia Motoni”

Labda ni kwamba hujui usemalo
 
wagalatia !.......nyie mna mila yenu na sisi tuna mila yetu !


Muhammad approved of his men having sex with slaves, as this episode involving his son-in-law, Ali, clearly proves. This hadith refutes the modern apologists who pretend that slaves were really "wives," since Muhammad had forbidden Ali from marrying another woman as long as Fatima (his favorite daughter) was living,

Abu Dawud (2150)- "The Apostle of Allah (may peace be upon him) sent a military expedition to Awtas on the occasion of the battle of Hunain. They met their enemy and fought with them. They defeated them and took them captives. Some of the Companions of the Apostle of Allah (may peace be upon him) were reluctant to have intercourse with the female captives in the presence of their husbands who were unbelievers. So Allah, the Exalted, sent down the Qur’anic verse:(Sura 4:24)'And all married women (are forbidden) unto you save those (captives) whom your right hands possess.'" This is the background for verse 4:24 of the Qur'an. Not only does Allah (the ANTI GOD) grant permission for women to be captured and raped, but allows it to even be done in front of their husbands.
 
Labda ni kwamba hujui usemalo

Sasa tuwasikilize na maswahiba wa Mtume Muhammad.

Simulizi:
Pia imesimuliwa na Ibn Jarir, iliyosimuliwa na Abu Kurayb, imesimuliwa na Ibn Yaman, imesimuliwa na Ibn Malik Maghul, imesimuliwa na Ibn Ishaq ambaye alisema, "Kila mara Abu Maysarah anapo kwenda kulala na akiwa kitandani kwake yeye husema, 'Mimi nasikia Uchungu kuzaliwa na Mama yangu. 'na kisha anaanza kulia kwa Machozi. Alipoulizwa kwa nini alikuwa akilia, alijibu ayafuatayo,' Tuliambiwa kwamba SISI WAISLAMU tutaingia Jehannamu, LAKINI HATUKUAMBIWA kwamba TUTATOLEWA HUKO JEHANNAMU NA HATUKUAMBIWA NI KIVIPI TUTATOKA HUKO'"

Mfuasi huyu wa Muhammad anaoneka kupatwa na mshtuko mkubwa, pale alipo ambiwa kuwa, Waislam wote wataingia Jehannam. Mshtuko huu umemfanya ailaani siku ambayo alizaliwa. Kitu cha kujiuliza, kwanini Allah ambaye ni mungu wa Waislam anatoa ahadi ya Jehannam na si Akhera kama wafundishavyo Waislam?
 
Hiyo ni hadithi au maelezo yako?

SHETANI NI MUSLAMU

Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)

Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae,

Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.

Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa ni muislamu,sisi Wakristo tunaojitambua hatuutaki Uislamu.
 
AM sry for telln you this,YOU ARE MIND SPOILED. Uislam umekuja kuzuia biashara ya utumwa,uislam umekuja kumpa mwanamke haq yake,uislam umekuta mama anapjwa na mtto wake uislam ukakataza,uislam umekuta mtto wa kike hana thaman anazikwa mzima mzima ,uislam ukaharamisha,uislam umekuta mama akifiwa na mume bas hana mirath uislam ukaja na kutoa fungu lake kwa mjane ,mfuas wa muhammad saw alienda na zawad kw mtume na kumuuliza je nimpe nan kat ya mama na baba,mtume alijbu MAMa,kisha akaulza tena nan,akasema. MAMA,jibu moja tu ndo likawa baba,mama kapewa thaman ktk uislam,tatzo lenu hamsom na mnachanganya sana kat ya uarabu na uislam,uislam si uarabu,kwaiyo muarab akifanya ushenz haimaanish uislam ndo unataka ivo,uislam upo mbal sn na uarabu,km kwel unataka kujifunza bas soma utapata ukwel usikubal kuhadithiwa

nani kakwambia uislam ndio umetokomeza utumwa
 
Mleta mada Pakistan si Waarabu. Ni nani alikudanganya kuwa Pakistan ni Waarabu?

Misri ni Afrika.

Saudi Arabia, ni moja katika nchi inayowaenzi sana wanawake, kutokuwapa ruhusa ya kuendesha ni kuwajali wanawake.

Rudi tena ufanye homework yako.
 

SHETANI NI MUSLAMU

Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)

Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae,

Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.

Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa ni muislamu,sisi Wakristo tunaojitambua hatuutaki Uislamu.

Mwenyezi Mungu anasema "sikuwaumba majini na watu ila waniabudu"
Majini/shetani ni viumbe wa Mungu, na wala hakuumbwa waje kufanya maovu hapana wameumbwa ili kuja kumuabudu Mwenyezi Mungu, tatizo la nyinyi wenzetu mnatafsiri shetani vibaya
 
Mleta mada Pakistan si Waarabu. Ni nani alikudanganya kuwa Pakistan ni Waarabu?

Misri ni Afrika.

Saudi Arabia, ni moja katika nchi inayowaenzi sana wanawake, kutokuwapa ruhusa ya kuendesha ni kuwajali wanawake.

Rudi tena ufanye homework yako.

Ooops Kumbe Ishmael hakuwa na Uarabu ndani yake......
 
Mwenyezi Mungu anasema "sikuwaumba majini na watu ila waniabudu"
Majini/shetani ni viumbe wa Mungu, na wala hakuumbwa waje kufanya maovu hapana wameumbwa ili kuja kumuabudu Mwenyezi Mungu, tatizo la nyinyi wenzetu mnatafsiri shetani vibaya

Aisee. Sasa hayo Majini yalikuwa na Mtume anaye itwa nani? Maana Allah kadai kila Ummah ameupa Nabii!!!!
 
Mleta mada Pakistan si Waarabu. Ni nani alikudanganya kuwa Pakistan ni Waarabu?

Misri ni Afrika.

Saudi Arabia, ni moja katika nchi inayowaenzi sana wanawake, kutokuwapa ruhusa ya kuendesha ni kuwajali wanawake.

Rudi tena ufanye homework yako.

LAANA NYINGINE KWA WANAWAKE WA KIISLAMU:
Wanawake ni wabaya zaidi ya watu waliokufa (Maiti), hawaruhusiwi hata kufuata jeneza
Sahih Muslim - 4.2039

HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
 
NDUGU YANGU UMEMEZESHWA.thats way nakuambia usome uislam kwanza.usisikilize viongozi wako wa ibada wanavyouponda uislam na ukajue ni kwelo.Nahisi ukiusoma Uislam kwa nia njema waweza ukawa miongoni mwa waislam.Wazungu wengi wasilimu kwa ajili tu ya kuusoma huo uislam.

hakuna thehebu lolote la kikristo linaloponda uislam ila mambo yenu mnayoyafanya ndio yanakimbiza waumini wenu kukimbilia ukristo sitaki ligi huo ndio ukweli
 
Hii mada imebadilika watu wanapigana madogo.Naturally uislam kila siku lazima upigwe vita kwa sababu ni mti wenye matunda.Kila siku wamagharibi wanaanzisha mifumo mipya alimradi waizime Nuru ya uislam.kuna siki special imewekwa na mazungu eti siku ya wanawake mara haki za wanawake ohh haki za mama lakini uislam l
kila siku unamthamini mwanamke.huoni kenye tv ufaransa kila siku wanawake wanaandama sababu wananyanyaswa.au hilo hamlioni.mumeshikwa macho na maskio.Tumien hikma katika kuyaangalia mambo.
 
Hiyo ni hadithi au maelezo yako?

Mwenyezi Mungu anasema "sikuwaumba majini na watu ila waniabudu"
Majini/shetani ni viumbe wa Mungu, na wala hakuumbwa waje kufanya maovu hapana wameumbwa ili kuja kumuabudu Mwenyezi Mungu, tatizo la nyinyi wenzetu mnatafsiri shetani vibaya

-

Katika Quran 19:83 “

Je, huoni ya kuwa

tumewatuma

mashetani juu ya

makafiri

wanaowachochea

kufanya mabaya?”

Kwa mujibu wa Allah Shetani ni MTUME wa allah na ametumwa kuja kuchochea watu wafanye mabaya, maovu,

Wewe unatuambia shetani hakuumbwa ili aje kufanya maovu

Sasa ebu tuambie kati ya wewe na quran ni nani ndie muongo zaidi?
 
Kila nchi na sheria zake .na ile ni nchi ya kiislam.subili ushoga utiwe saini hapa bongo ndo utakapojua kwa nini saudia wanawake wanazuiwa kuendesha gali.
 
Katika moyo wangu hakuna kitu kinachoniuma kama mtu kuutukana Uislam.yaani anautuka uislam halafu hana hata hoja anabaki kuleta aya halafu hajui hata maana yake.wewe schiendler izo aya unazozileta hapa unajua maana yake sahihi.Mwanamke katika Islam haruhisiwi kulifuata Jeneza ni kweli hapo Allah ametumia hikma ndani yake lakini sio kwa sababu mwanamke ni mbaya kuliko maiti.haya maneno umepata wapi?
 
-

Katika Quran 19:83 “

Je, huoni ya kuwa

tumewatuma

mashetani juu ya

makafiri

wanaowachochea

kufanya mabaya?”

Kwa mujibu wa Allah Shetani ni MTUME wa allah na ametumwa kuja kuchochea watu wafanye mabaya, maovu,

Wewe unatuambia shetani hakuumbwa ili aje kufanya maovu

Sasa ebu tuambie kati ya wewe na quran ni nani ndie muongo zaidi?
Nataka nikuulize swali unapata faida gani ukibadisha maana ya aya?hio aya na maelezo yako tofauti soma uelewe sio kwa ushabiki.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom