Hivi kwanini mikoa au wilaya ambayo waislamu ni wengi kuna ustaarabu mwingi sana? No vibaka,wizi,mauaji n.k

Hivi kwanini mikoa au wilaya ambayo waislamu ni wengi kuna ustaarabu mwingi sana? No vibaka,wizi,mauaji n.k

Kusini pride

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,762
Reaction score
4,070
Nimejiuliza sana Aisee sijui kwanini mikoa Mingi ambayo waislamu ni wengi imestaarabika sana kuzidi ile mikoa ambayo ni dini nyingine ndiyo wengi? Mikoa mingi ambayo waislamu ni wengi kuna vitendo vichache au hamna vya vibaka,wizi,ujambazi l,mauaji ya wanandoa au ndugu hamna kabisa Aisee na watu wanaishi kwa amani kwa raha na mustarehe?

Kwa mfano Tanga,lindi na mtwara mpaka saa saa saba hata saa tano usiku unaweza kutembea bila hata kukabwa,kupigwa na kuporwa? Ila sasa nenda mikoa Ile ambao kuna idadi kubwa ya watu wa dini nyingine tembea usiku kama hauyataki maisha yako aisee
 
Nimejiuliza sana Aisee sijui kwanini mikoa Mingi ambayo waislamu ni wengi imestaarabika sana kuzidi ile mikoa ambayo ni dini nyingine ndiyo wengi? Mikoa mingi ambayo waislamu ni wengi kuna vitendo vichache au hamna vya vibaka,wizi,ujambazi l,mauaji ya wanandoa au ndugu hamna kabisa Aisee na watu wanaishi kwa amani kwa raha na mustarehe?

Kwa mfano Tanga,lindi na mtwara mpaka saa saa saba hata saa tano usiku unaweza kutembea bila hata kukabwa,kupigwa na kuporwa? Ila sasa nenda mikoa Ile ambao kuna idadi kubwa ya watu wa dini nyingine tembea usiku kama hauyataki maisha yako aisee
Watapata wapi nguvu za kukabia wakatimuda wote wanawaza vitu laini laini
 
Nimejiuliza sana Aisee sijui kwanini mikoa Mingi ambayo waislamu ni wengi imestaarabika sana kuzidi ile mikoa ambayo ni dini nyingine ndiyo wengi? Mikoa mingi ambayo waislamu ni wengi kuna vitendo vichache au hamna vya vibaka,wizi,ujambazi l,mauaji ya wanandoa au ndugu hamna kabisa Aisee na watu wanaishi kwa amani kwa raha na mustarehe?

Kwa mfano Tanga,lindi na mtwara mpaka saa saa saba hata saa tano usiku unaweza kutembea bila hata kukabwa,kupigwa na kuporwa? Ila sasa nenda mikoa Ile ambao kuna idadi kubwa ya watu wa dini nyingine tembea usiku kama hauyataki maisha yako aisee
Kipato cha hiyo mikoa ya waislamu na huko kwa makafiri ambako ukabaji umeshamiri kinalingana pia?
 
Nimejiuliza sana Aisee sijui kwanini mikoa Mingi ambayo waislamu ni wengi imestaarabika sana kuzidi ile mikoa ambayo ni dini nyingine ndiyo wengi? Mikoa mingi ambayo waislamu ni wengi kuna vitendo vichache au hamna vya vibaka,wizi,ujambazi l,mauaji ya wanandoa au ndugu hamna kabisa Aisee na watu wanaishi kwa amani kwa raha na mustarehe?

Kwa mfano Tanga,lindi na mtwara mpaka saa saa saba hata saa tano usiku unaweza kutembea bila hata kukabwa,kupigwa na kuporwa? Ila sasa nenda mikoa Ile ambao kuna idadi kubwa ya watu wa dini nyingine tembea usiku kama hauyataki maisha yako aisee
Je maendeleo yapo..? Hiyo tanga uchawi tu hakuna lingine
 
Nimejiuliza sana Aisee sijui kwanini mikoa Mingi ambayo waislamu ni wengi imestaarabika sana kuzidi ile mikoa ambayo ni dini nyingine ndiyo wengi?
SOMA HII HABARI:

 
Vijana wa mikoahiyo ni wavivu sana na ndio mana wakiwa wazee wanaishia kuwa mamwinyi kuzeekea kwenye nyumba za urithi. Ni ujinga tu wa kutokutumia fursa vizuri, ndio mana hata wanasiasa wakipata fursa ya kukwiba au kupora mali ya uma wanaitumia vizuri sana.
Nimejiuliza sana Aisee sijui kwanini mikoa Mingi ambayo waislamu ni wengi imestaarabika sana kuzidi ile mikoa ambayo ni dini nyingine ndiyo wengi? Mikoa mingi ambayo waislamu ni wengi kuna vitendo vichache au hamna vya vibaka,wizi,ujambazi l,mauaji ya wanandoa au ndugu hamna kabisa Aisee na watu wanaishi kwa amani kwa raha na mustarehe?

Kwa mfano Tanga,lindi na mtwara mpaka saa saa saba hata saa tano usiku unaweza kutembea bila hata kukabwa,kupigwa na kuporwa? Ila sasa nenda mikoa Ile ambao kuna idadi kubwa ya watu wa dini nyingine tembea usiku kama hauyataki maisha yako aisee
....Kama Unazungumza Kinyume ! 🙂...
 
Nimejiuliza sana Aisee sijui kwanini mikoa Mingi ambayo waislamu ni wengi imestaarabika sana kuzidi ile mikoa ambayo ni dini nyingine ndiyo wengi? Mikoa mingi ambayo waislamu ni wengi kuna vitendo vichache au hamna vya vibaka,wizi,ujambazi l,mauaji ya wanandoa au ndugu hamna kabisa Aisee na watu wanaishi kwa amani kwa raha na mustarehe?

Kwa mfano Tanga,lindi na mtwara mpaka saa saa saba hata saa tano usiku unaweza kutembea bila hata kukabwa,kupigwa na kuporwa? Ila sasa nenda mikoa Ile ambao kuna idadi kubwa ya watu wa dini nyingine tembea usiku kama hauyataki maisha yako aisee
Mkuu Mbona magerezani waislamu ndo wengi na makosa Yao mengi niwizi uuwaji madawa ya kulevya na ubakaji? Upo hapo?
 
Nimejiuliza sana Aisee sijui kwanini mikoa Mingi ambayo waislamu ni wengi imestaarabika sana kuzidi ile mikoa ambayo ni dini nyingine ndiyo wengi? Mikoa mingi ambayo waislamu ni wengi kuna vitendo vichache au hamna vya vibaka,wizi,ujambazi l,mauaji ya wanandoa au ndugu hamna kabisa Aisee na watu wanaishi kwa amani kwa raha na mustarehe?

Kwa mfano Tanga,lindi na mtwara mpaka saa saa saba hata saa tano usiku unaweza kutembea bila hata kukabwa,kupigwa na kuporwa? Ila sasa nenda mikoa Ile ambao kuna idadi kubwa ya watu wa dini nyingine tembea usiku kama hauyataki maisha yako aisee
Si kweli. Kuna mada ilitoka hapa, kwamba kwa nini ukienda Polisi mahabusu wengi ni Waislamu? Hao ni mahabusu wa vibaka, Panya road, utapeli nk
 
Back
Top Bottom