Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,250
- 113,636
- Thread starter
- #21
You guys are cowards. Period.Jeshi la polisi bongo liko tayari kupiga risasi za moto raia wasio na hatia kwa sababu ya kulinda watawala hata kama raia wana haki ya kuandamana.
Laiti Jeshi letu lingekuwa kweli jeshi la polisi la wananchi , basi raia wangetumia haki yao ya kidemokrasia kuandamana bila hofu ya kuuawa.
Usilinganishe jeshi la Polisi la SOuth Afrika na Bongo, Polisi wa kule hawako kwa ajili ya chama tawala, kwa hiyo siyo rahisi kutumia risasi za moto kama option ya kwanza , Ndiyo maana pamoja na uharibifu mkubwa ambao raia wa south Africa walifanya, Jeshi la Polisi halikuua watu wengi kivile, Sasa ingekuwa bongo Polisi wangekamata hata waliovaa rangi zinazofanana na rangi za chadema tu.
Kiufupi tu, Bongo tunatawaliwa na Mfumo wa Kijeshi linapokuja suala la kuichallenge CCM.
You don’t want the smoke.