Hivi kwanini CHADEMA mpo wanyonge sana?

Unakosea kulinganisha Mubarak na Tanzania. Kule watu waliandamana Tahrir Square bila kupigwa risasi au kufurushwa na vifaru.

Tokea Lissi apigwe risasi imeonyesha wazi CCM haina haya kuua linapokuja suala la kulinda mamlaka yake. Tokea hapo many opposition leaders waliogopa maana hakukuwahi kuwa na jasiri zaidi ya Lissu!! Kma alikoswa koswa kifo kila mtu alipoa sana.

Ila polisi wasipoingilia maandamano kama tu haya hapa chini mbona watu watajitokeza kwa maelfu. Tatizo ni kwamba hapa mnatukejeli ila tukiitisha maandamano ya amani utaona watakavyojaza Majeshi mtaani!! Sasa kma mnataka kutu prove wrong kwanini msiaachie tu kma ujio wa Lissu


 
Kuna nyakati damu lazima imwagike ili mabadiliko yatokee!
Dah!, upinzani bado haujawa tayari kumwaga damu za wananchi, ila it seems CCM wako tayari na wamefanya hivyo Zanzibar mwaka 2001 na 2020.
Wewe unafahamu vizuri hata kwenye non-violent movements za blacks kule Marekani enzi za Dr King, Polisi walikuwa wakitumia nguvu lakini very rare kutumia risasi za moto kuwachapa waandamanaji. Lakini hapa bongo ni tofauti, Polisi wako tayari kuzitumia
 
Nyani Ngabu huwa anapenda kuanziasha mada za kuwabughudhi na kuwachokonoa Chadema kwa sababu anaongeza umaarufu wake hapa na kupata wachangiaji wengi. Hapa ukitaka kila member akujue uwe unatetea kila jambo linalofanywa na serikali hata liwe na uozo namna gani. Na wapinzani hasa Chadema wabughudhi kwa vijembe na kebehi. Trust me, jina lako litakuwa maarufu sana hapa. This is a funny side of many Tanzanians, i.e. hawajui kum-ignore mtu au kitu wasichotaka au kinachowa-irritate mioyo yao.
Inashangaza kidogo kuona mtu kama huyo Nyani bado haelewi kwamba CHADEMA wanatumia akili zaidi kwenye mapambano kuliko maguvu; au anajisahaulisha tu, akitamani iwe kama anavyotaka yeye iwe.

CHADEMA wangeendelea kutegemea kutumia nguvu, chama kingekuwa kilishakufa siku nyingi sana.

Nafuu ya CCM na serikali ni kuona CHADEMA wakijiingiza kwenye vurugu wanazohimiza hawa wafuasi wao ili wawamalize haraka na kuondokana na upinzani wa kweli dhidi ya utawala wa CCM.
 
Wale wanaharakati nguli wa twitter wakikaa mstari wa mbele kudai uhuru na katiba mpya hata mimi nitajitokeza kuandamana.
 
Dah!, upinzani bado haujawa tayari kumwaga damu za wananchi, ila it seems CCM wako tayari na wamefanya hivyo Zanzibar mwaka 2001 na 2020.
Wewe unafahamu vizuri hata kwenye non-violent movements za blacks kule Marekani enzi za Dr King, Polisi walikuwa wakitumia nguvu lakini very rare kutumia risasi za moto kuwachapa waandamanaji. Lakini hapa bongo ni tofauti, Polisi wako tayari kuzitumia
Mbona damu ishamwagika sana Marekani hata kipindi cha civil rights movement…

Hata Dr. King alimwaga damu!!
 
'Tutoke vipi yao' safari hii ilikuwa pumba kuliko......walikosea kila kitu; muda, mahali, mada hata wahusika. Nimemuona heche jana na yule sijui katibu au nani sijui (ana madevu mengi) wanajitutumua 'kwa taaabu na mashaka' kuwa kongamano litafanyika tena kule kule, serikali itake au isitake. Tunasubiri!!
 
Sawa.

Lakini hiyo bado haiondoi ukweli kwamba CHADEMA ni waoga.

Sehemu nyingi tu duniani watu huandamana kupinga uonevu.

Hosni Mubarak maandamano ndo yaliyomwondoa madarakani.

CHADEMA wanadai wana wanachama takriban milioni 5-7.

Wako wapi kupinga mwenyekiti wao kuonewa?
Huu sio wakati wa ujima.ikifika muda hata wewe utaunga mkono hoja.misri na Libya ilikua ivi ivi.subiri usiwe na papara
 
Kuna ujasiri na upumbavu. Hawa wafaransa wanapambana polisi waliobeba virungu. Unataka Chadema wapambane na polisi waliobeba SMG zenye risasi za moto! Hiyo itakuwa ni madness kuifanya peke yao. Hata hii wanayofanya inahitaji ujasiri mkubwa. Wanastahili kupewa credit kwa hilo.

Amandla...
Huyu Nyani furaha yake ni kuona wafuasi wa Cdm wakipigwa na hata kuuawa na polisi ili aendeleze kebehi zake.
 
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
Uchuminwanasilimia nne Bora ubaki Hapo,kikinuka utakuwa asilimia 2
 

Usitumie isolated case kujenga hoja.... Hivi TZ wangeruhusu watu wajae pale mnazi mmoja mpaka waweke kambi siku zote hizo?? Wangerusha risasi kma maji watu waondoke...... It would be more of Tiananmen square massacre!!

Anyway kikubwa polisi waruhusu maandamano ya Amani then urudi hapa kusema kama CHADEMA haina numbers. Btw I hope unakumbuka demos za mwisho zilizopelekea kifo cha Akwilina!!! We had numbers but mwisho wake ulikuwaje??
 
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.
Ukute bado wanajipanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usitumie isolated case kujenga hoja.... Hivi TZ wangeruhusu watu wajae pale mnazi mmoja mpaka waweke kambi siku zote hizo?? Wangerusha risasi kma maji watu waondoke...... It would be more of Tiananmen square massacre!!

Anyway kikubwa polisi waruhusu maandamano ya Amani then urudi hapa kusema kama CHADEMA haina numbers. Btw I hope unakumbuka demos za mwisho zilizopelekea kifo cha Akwilina!!! We had numbers but mwisho wake ulikuwaje??
Isolated case?

How old were you in 2011?

Violence was widespread. Over 800 died as result of clashes between protesters and security forces.

You must have been in diapers back then 🤣🤣.
 
Nyani Ngabu huwa anapenda kuanziasha mada za kuwabughudhi na kuwachokonoa Chadema kwa sababu anaongeza umaarufu wake hapa na kupata wachangiaji wengi. Hapa ukitaka kila member akujue uwe unatetea kila jambo linalofanywa na serikali hata liwe na uozo namna gani. Na wapinzani hasa Chadema wabughudhi kwa vijembe na kebehi. Trust me, jina lako litakuwa maarufu sana hapa. This is a funny side of many Tanzanians, i.e. hawajui kum-ignore mtu au kitu wasichotaka au kinachowa-irritate mioyo yao.



Sadomasochism at play huh?
 
Ni zaidi ya wiki mwenyekiti wenu Freeman Mbowe ananyea debe huko lupango.

Lakini nyie ambao mpo huru mmeridhika tu na kunung’unika kwenye mitandao.

Kwa nini hamjaingia barabarani kupigania uhuru wa mwenyekiti wenu ambaye mnasema anaonewa?

Makamanda gani mnakuwa wanyonge hivyo?

Mnaogopa nini? Mnamwogopa Bi. Mkubwa kiasi hicho?

Walau jana wale akina mama walienda kujigalagaza mbele ya ubalozi wa Marekani.

Bavicha wako wapi?

Na hao washirika wenu akina Kigogo na Shangazi wako wapi?

Wanaharakati wa kweli huwa hawajifichi nyuma ya mitandao. Bali huingia barabarani na kukinukisha mpaka kieleweke.

Lakini nyie mmekaa mmejificha tu nyuma ya mitandao na kwenye vyombo vya habari vya kimataifa!

Hamjaona jinsi washabiki wa fisadi Jakobo Zuma walivyokinukisha?

CHADEMA mnatia huruma kwa kweli.

I guess you don’t know that they’re just a bunch of tough-talking keyboard warriors!
 
Back
Top Bottom