Hivi kwanini Bakwata mnatumika sana na CCM?

Hivi kwanini Bakwata mnatumika sana na CCM?

h
Kwenye hutuba ya Leo Ya maulidi Yaani ni kuimba na kuabudu tupu... Haya ongelewi matatizo ya bakwata au waislam husika.. Mbona Wakristo hawapelekeshwi hivi jamani.. Nilitegemea swala hili LA dini iongelewe Dini sio hutuba za CCM pekee
ngoja niifuatilie
 
Sisi tusioabudu dini za wazungu na waarabu ndio tuliowaokoa CCM lkn wametusahau kabisa.
 
HII MADA ILISHAISHA, ACHA KUDANDIA GARI KWA MBELE HUO NDIO ULIMBUKENI, KUJADILI TBC HAIKUWA MSINGI WA MADA. FANYA UFANYAVYO TBC NDIO TELEVISION YA TAIFA, KAMA UNAPINGA TUAMBIE NI IPI TELEVISION YA TAIFA, BILA KUTUMIA ULIMBUKENI WA KICCM NA KICHADEMA(BILA KUTUMIA ULIMBUKENI WA KISIASA)
Na wewe jikite kwenye Mada... TV ya TAIFA hata taarifa ya PPT maendeleo hausikii... Kwani ni TAIFA la chama kimoja hili... na kama unavyounga mkono la TBC ndio unavyounga mkono bakwata kuwa jumuiya ya ccm. Tunabadilisha tu katiba ili apatikane Mjumbe wa kuingia mkutano mkuu Kutoka bakwata
 
Na wewe jikite kwenye Mada... TV ya TAIFA hata taarifa ya PPT maendeleo hausikii... Kwani ni TAIFA la chama kimoja hili... na kama unavyounga mkono la TBC ndio unavyounga mkono bakwata kuwa jumuiya ya ccm. Tunabadilisha tu katiba ili apatikane Mjumbe wa kuingia mkutano mkuu Kutoka bakwata
UFAFANUZI KUHUSU BAKWATA UMESHATOLEWA. CHUKI ZENU BILA VITENDO NI BURE.
 
Na wewe jikite kwenye Mada... TV ya TAIFA hata taarifa ya PPT maendeleo hausikii... Kwani ni TAIFA la chama kimoja hili... na kama unavyounga mkono la TBC ndio unavyounga mkono bakwata kuwa jumuiya ya ccm. Tunabadilisha tu katiba ili apatikane Mjumbe wa kuingia mkutano mkuu Kutoka bakwata
Kuhusu Mjumbe hilo lipo ila haliko wazi. Na si BAKWATA TU HADI TEC TIC
 
Kuanza kupingana na serikali hili si jambo jema eti tu kwa kuwa chama kilikuwa icu na waislam wakakipigania kikapata nafasi, hapana[emoji114], hii si kweli, naamini wao ilikuwa ni lazima washinde tutake waislam ama tusitake, kwa kuwa kadari ni lazima itimie sheikh.
Lakini pia uislam haukubali uonevu (kama kweli upo) ila kuna namna za busara za kufikisha madai kwa wahusika na si kutoka hadharani na tuhuma za namna hii.
Binafsi niwashauri waislam wenzangu tuisome dini yetu kikweli ili tumtambue mola wetu tuwe wakweli kwake na tufanye ibada kikweli na tuachane mara moja na uovu.
Kwa jinsi hii naamini nusra juu ya mazito yote yatapatikana.
Na mwisho ninukuu maneno yako sheikh khalifa mwenyewe ya kuwa:-

"MUUMIN WA HAKIKA WA DINI YA KIISLAM NI YULE AMBAYE WATU WOTE WA DINI ZOTE WANAPATA AMANI NA USALAMA KWA DAMU ZAO NA MALI ZAO KUTOKANA NA MUUMIN HUYU".

Kulithibitisha hili kwa matendo tutakuwa tumefanya jambo kubwa la kiibada kwa kuwa tutakuwa tumetii na kufuata mafunzo sahihi ya mtume wetu rahma na amani juu yake.
Pia nikinukuu kauli nyengine ya sheikh khalifa anasema :-

"MUISLAM WA KWELI NI YULE AMBAYE WAISLAM WENZAKE WAMESALIMIKA NA NA MIKONO YAKE NA ULIMI WAKE"

Sheikh nikuombee kwa Allah tusalimike na ulimi wako na mikono yako, kwa maana unachokifanya hapa kinaweza kutuweka matatani waislam wenzako endapo tutafuata maneno yako, kuwa na amani na nafasi ya kufanya ibada na kutafuta rizki yako kwa amani ni jambo la kushukuru sana.
 
Kwenye hutuba ya Leo Ya maulidi Yaani ni kuimba na kuabudu tupu... Haya ongelewi matatizo ya bakwata au waislam husika.. Mbona Wakristo hawapelekeshwi hivi jamani.. Nilitegemea swala hili LA dini iongelewe Dini sio hutuba za CCM pekee
Madarasa
 
Waislam ni wachache Sana Tz kulinganisha Wa wenzao Wakristo, Hata ujumlishe Wa huko Zanzibar na wahapa bongo bado hawafiki asilimia 40
 
Nimeshangaa sana nilipokuwa naangalia hii video ya shehe huyu kuwaambia Watanzania kuwa waislamu ndio waliosimama na ccm wakati wa uchaguzi na kuiokoa kwenye anguko katika uchaguzi wa 2015, swali langu ni hili hivi walioichagua ccm ni waislamu tu? Je kauli hizi haziudhalilishi Uislamu na waislamu? Je shehe huyu anataka kuwaambia Watanzania kuwa Waislamu ni adui wa vyama vingine vya siasa?

Je waislamu wanakubaliana na yote yanayofanywa na serikali ya ccm ndio maana wakaamua kuwaambia waislamu wasichague vyama vingine ila wachague ccm tu? Je shehe huyu anataka kuaminisha Watanzania kuwa Waislamu wanafanyaga kampeni misikitini kuamua waislamu wachague nani na chama gani?

Ebu angalia video
Kweli Nati zimekaza hata kichwa cha sheikh kimegoma kufikiri muambie waendelee kufundishana karaté misikitini
 
Hahaha BAKWATA ni nani, viongozi au waumini?! Kwani kujiunga uanachawa wa ccm, kuna kigezo cha dini?! Kila chama kinatumia wanachama/wafuasi wake. Ikuwa hao bakwata ni ccm kwanini CCM isiwatumue?! Huwezi kutumika kama wewe sio mwanachama au mfuasi. Acha watumike ni hitari yao kutumika.
 
Kwenye hutuba ya Leo Ya maulidi Yaani ni kuimba na kuabudu tupu... Haya ongelewi matatizo ya bakwata au waislam husika.. Mbona Wakristo hawapelekeshwi hivi jamani.. Nilitegemea swala hili LA dini iongelewe Dini sio hutuba za CCM pekee
Ukriristo si Uislaam, wewe baki huko huko msikopelekeshwa. Hangaikeni tu na masanamu yenu.
 
nilikuwa narukisha channel za TV bahati mbaya nikafika ya TBC 1 nikaona niangalie looooooo aiseee ni kuabudu tupu ... Hadi sasa wanaendelea sifu
...si ungefungua Emmanuele Tv ukanyunyiziw maji ya upako !
 
Back
Top Bottom