😂😂😂na pambio juu?nilikuwa narukisha channel za TV bahati mbaya nikafika ya TBC 1 nikaona niangalie looooooo aiseee ni kuabudu tupu ... Hadi sasa wanaendelea sifu
Mkuu si useme tu kama ulikuwa unaangalia TBC, kwani baada ya kuangalia umebadilika nini acha kuishi maisha ya kimtandao humu JF kila mtu anamaisha yake binafsi kwanini ujilazimishe kuyakana maisha yako. TV yako angalia channel yoyote utakayopenda. Usifuate maneno ya watu wa JF. HUO UTAKUWA NI ULIMBUKENI.nilikuwa narukisha channel za TV bahati mbaya nikafika ya TBC 1 nikaona niangalie looooooo aiseee ni kuabudu tupu ... Hadi sasa wanaendelea sifu
kwenda huko "Khawarij" mkubwa we!Kwenye hutuba ya Leo Ya maulidi Yaani ni kuimba na kuabudu tupu... Haya ongelewi matatizo ya bakwata au waislam husika.. Mbona Wakristo hawapelekeshwi hivi jamani.. Nilitegemea swala hili LA dini iongelewe Dini sio hutuba za CCM pekee
Kwenye hutuba ya Leo Ya maulidi Yaani ni kuimba na kuabudu tupu... Haya ongelewi matatizo ya bakwata au waislam husika.. Mbona Wakristo hawapelekeshwi hivi jamani.. Nilitegemea swala hili LA dini iongelewe Dini sio hutuba za CCM pekee
😂😂tatizo pesa!😀 nashanga, ,mapambio wakati in waislam
hongera zenu nyie msiokua makafiri mkuu😂😂😂Ya Mungu muachie Mungu. Baraza limeenda vizuri tu leo. Kama kuna mtu ameudhika ni kafir tu, kwanza hayamhusu...
Mkuu si useme tu kama ulikuwa unaangalia TBC, kwani baada ya kuangalia umebadilika nini acha kuishi maisha ya kimtandao humu JF kila mtu anamaisha yake binafsi kwanini ujilazimishe kuyakana maisha yako. TV yako angalia channel yoyote utakayopenda. Usifuate maneno ya watu wa JF. HUO UTAKUWA NI ULIMBUKENI.