Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,557
...sana tuu, hata Mungu kawaita makafiri !Hahahahaha Dini bana... Uneridhika ulipo ita Kafiri???
...sana tuu, hata Mungu kawaita makafiri !Hahahahaha Dini bana... Uneridhika ulipo ita Kafiri???
Chadema waanzishe yao, kina kipozeo na Ponda wapoBakwata ilianzishwa na serikali na kwa sasa ni kama jumuia ya CCM sawa na UWT au UVCCM.
Sio kwamba Waislamu wanaipenda la hash's bali nguvu kubwa ya dola inayotumika kulinda.
Masheikh wote waliojaribu kuipinga walipata matatizo makubwa ikiwemo shs Takadir kufukuzwa Dar es salaam kuwa sio raia na kurudishwa kwao Zanzibar(sic)
Angalia Shehe wa Dar yupo Ikulu mara nyingi kuliko misikitini.
...siasa za muungano haziwezi kukuacha salama hata kama ni Sheikh. Zanzibar ni nchi ya kimapinduzi. Ni hivyo tuu !Ndio maana hao lazima waisifu CCM. Nadhani wewe ni miongoni mwa watu wanaounga mkono kushikiliwa kwa mashekh wa uamsho. Nadhani kinachowapata hao mashekh wengi mnakijua. Je kwanini hao wasiendelee kuisifu CCM ili wao wawe salama.
Ulimaliza hiyo STDVII? Hilo ndio jawabu ya suala langu?Maaakofu wametoa matamko mpaka wenyewe wamechoka juzi wametuma maombi ya kukutana na Mkulu
Mnapochangia mambo wekeni kumbukumbu Kwanza
SHEKHE Acha kuwa mfia dini wewe.. We waona dini yako sahihi ya mwenzako ni uwongo nae anakuona Umepotea hivyo hivyo....Ukriristo si Uislaam, wewe baki huko huko msikopelekeshwa. Hangaikeni tu na masanamu yenu.
Wewe unapungukiwa nini Bakwata wakiwa hivyo !? Au walipoianzisha taasisi yao walikuja kukuomba ushauri waiendesheje na wajipendekeze kwa nani !?SHEKHE Acha kuwa mfia dini wewe.. We waona dini yako sahihi ya mwenzako ni uwongo nae anakuona Umepotea hivyo hivyo....
ila achana na hilo Maudhui yangu Kwanini Bakwata inakuwa kama ya CCM wakati ni ya waislam...
Nanyi endeleeni kuyaimbia mapambio masanamu humo Kanisani.Kweli Nati zimekaza hata kichwa cha sheikh kimegoma kufikiri muambie waendelee kufundishana karaté misikitini
Sensa ya mwaka gani !? Au umeamua tu kuropoka ?Waislam ni wachache Sana Tz kulinganisha Wa wenzao Wakristo, Hata ujumlishe Wa huko Zanzibar na wahapa bongo bado hawafiki asilimia 40