Hivi kwa nini wanawake hamuwezi jambo hili?

Hivi kwa nini wanawake hamuwezi jambo hili?

imejengeka kwenye jamii zetu mwanaume ndio anatongoza mwanamke sasa mwanamke ukimtongoza mwanaume unaonekana malaya kitu ambacho si kweli.
 
hahaaa ndio natongoza maana hata wewe nilikutongoza,kama nimempenda mtu kwanini nisimwambie

nitajilipua tu bila wasiwsi wowote
Uwe unajiandaa na kibuti lakini... Maana kuna watu wakikataliwa huwa inakuwa kama kaambiwa anauwawa, kwa hiyo anaamua kufanya vurugu za mwisho mwisho
 
Hisia za kimapenzi jamani zina uzito wake ambao haziwezi kuelezeka n when u ar bein trapped in yo heart by them over some body, waweza usifanye kazi hata hamu ya kula ikatoweka. Acha kitu kinachoitwa hisia za kimapenzi nyinyi. Kwakufahamu hili mwanamke akinitongoza huwa nakuwa na muda wa kumuuliza maswari mawili matatu kujiridhisha kwanza maana kuna wengine anafuata pochi tu, wengine kweli wamezimika na jinsi nilivyo. U better take consideration on somebody's feelings, yo response might hurt her make her feel flying.
 
Hisia za kimapenzi jamani zina uzito wake ambao haziwezi kuelezeka n when u ar bein trapped in yo heart by them over some body, waweza usifanye kazi hata hamu ya kula ikatoweka. Acha kitu kinachoitwa hisia za kimapenzi nyinyi. Kwakufahamu hili mwanamke akinitongoza huwa nakuwa na muda wa kumuuliza maswari mawili matatu kujiridhisha kwanza maana kuna wengine anafuata pochi tu, wengine kweli wamezimika na jinsi nilivyo. U better take consideration on somebody's feelings, yo response mi

ni maswali gn ambayo huwa unapendelea kumuuliza???
 
Acha utani hawawezi hata kidogo, lakini kuna hata wanaume wengine madomo zege tu
 
Akina baba eee hiyo tabia ya kuwapa wapenzi /wake zenu password zenu
muache, shauri zenu;
 
napenda mwanamke anifungukie,dah,tatizo anaweza akakutongoza ambaye hata hakuvutii na ukala mzigo ika ugomvi sasa kuachana
Na hiyo ndo hutokea mara nyingi
 
Back
Top Bottom