Hivi kwa nini wanawake hamuwezi jambo hili?

Hivi kwa nini wanawake hamuwezi jambo hili?

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Sijui ni kwasababu ya mila na desturi zetu, wanawake wameshindwa na hawana ujasiri wa kuelezea hisia za wanaume wawapendao(kutongoza), na ukikuta wanafanya hivyo ni wachache sana. tunaomba mtujibu ni kwann?
 
Sijui ni kwasababu ya mila na desturi zetu, wanawake wameshindwa na hawana ujasiri wa kuelezea hisia za wanaume wawapendao(kutongoza), na ukikuta wanafanya hivyo ni wachache sana. tunaomba mtujibu ni kwann?
Wapo wanaotongoza. We muulize heaven on earth analijuwa....
 
si kweli mimi mbona mabinti wananitongoza sana. pengine ujawavutia kwa lolote kuanzia sura adi $$ .
 
Kaka digitali siku hizi,sema huna ngekewa.Mia
 
napenda mwanamke anifungukie,dah,tatizo anaweza akakutongoza ambaye hata hakuvutii na ukala mzigo ika ugomvi sasa kuachana
 
mimi nilishawahi tongozwa na mwanamke bana,si nikawa namtolea nje lakini yeye akawa hajali wala nini aliniganda kama ruba,nikasema isiwe kesi ngoja ni mlambe ,weee nika mgegeda wee asikwambie mtu nilimfanyia fujo wakati wa kumgegeda ili asirudie tena yaani nilitaka kumkomesha weeee kumbe zile fujo ndio nilikuwa namfikisha na kumkuna vizuri aisee tokea hapo ikawa kesi marambili kila nikipiga kona yuko nyuma yangu anataka nimpe mambo wee.
 
asigwa kakujbu vizur sana tu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nikikupenda nakutongoza ha ha ha :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
 
Sijui ni kwasababu ya mila na desturi zetu, wanawake wameshindwa na hawana ujasiri wa kuelezea hisia za wanaume wawapendao(kutongoza), na ukikuta wanafanya hivyo ni wachache sana. tunaomba mtujibu ni kwann?

Mi naweza aisee... Cha mno kujibana nini khaaa!!!!
 
Back
Top Bottom