Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
We kama mimi shost!!😎Mi naweza aisee... Cha mno kujibana nini khaaa!!!!
We kama mimi shost!!😎Mi naweza aisee... Cha mno kujibana nini khaaa!!!!
We kama mimi shost!!😎
napenda mwanamke anifungukie,dah,tatizo anaweza akakutongoza ambaye hata hakuvutii na ukala mzigo ika ugomvi sasa kuachana
Huu wakati wa utandawazi...AMKA....kuna mmoja nilimhoji akasema hawezi kufanya hivi kwasababu anahisi ataonekana "wa bei rahisi" (cheap). hiv kuna ukweli hapo?
Wapo wanaotongoza. We muulize heaven on earth analijuwa....
napenda mwanamke anifungukie,dah,tatizo anaweza akakutongoza ambaye hata hakuvutii na ukala mzigo ika ugomvi sasa kuachana
wanaume wenye nyodo wapo!
wanaume wenye nyodo wapo!
kwanini ule mzigo wakati hakuvutii..mie nikikupenda wla sikulazii dam lovito
Nyodo zikizidi ujue siyo riziki huyo
nipende sasa uonekwanini ule mzigo wakati hakuvutii..mie nikikupenda wla sikulazii dam lovito
tunatongoza sana soma alama za nyakati wewe si mpaka tutamke ata macho yanaongea ndugu yangu...
tunatongoza sana soma alama za nyakati wewe si mpaka tutamke ata macho yanaongea ndugu yangu...
nakumbuka kuna rafiki yangu wa "ke" ilikuwa kila nikikutana nae macho yake ananiangalia kwa mtindo wa "juu chini juu chini" mpaka naonaga aibu halafu stori zake ni hizi:
"uliwahi kuwa na msichana! mwanamke gan huwa anakuvutia! unapenda kuwa na mtoto! n.k"
mbona maswali ya kawaida hayo?
nipende sasa uone
unanipenda kimachale bhanaNikupende mara ngapi...